Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Kutoka nchini Marekani,Rapa Tekashi6ix9ine atalazimika kuuza mali zake za thamani ili kulipa faini ya dola 9.8 milioni, ambazo ni zaidi ya tsh 24 bilioni, kufuatia uamuzi wa jaji wa Florida katika kesi ya kumpiga kichwani na chupa Alexis Salaberrios katika klabu ya ‘strip’ mwaka 2021.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
18 Dec 2023
Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Jaji Robert T. Watson amethibitisha uamuzi huo kwa rapa huyo baada ya kushindwa kufika Mahakamani kupinga uamuzi huo mwezi Julai mwaka huu.

Mali zinazotakiwa kuuzwa ni pamoja na gari aina ya Rolls-Royce, jumba lake la kifahari la Florida na vitu vingine vya bei ghali ambavyo vinaweza kuuzwa kwa mnada ili kulipa fidia ya dola milioni 9.825.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

"A$AP Rocky Amzuia  rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

"A$AP Rocky Amzuia rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"