

Rapa maarufu Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu mbalimbali mitandaoni, kufuatia kesi ya ubakaji inayomhusisha binti wa miaka 13, anayedaiwa kubakwa na Diddy mwaka 2000. Kesi hiyo ilifunguliwa na mwanadada aliyejulikana kwa jina bandia la 'Jane Doe' Desemba 9, 2024, akidai kuwa alifanyiwa unyanyasaji baada ya sherehe za tuzo za Video Music Awards (VMAs).
Jay Z anadai kuwa yeye na familia yake wamekuwa wakituhumiwa kuwa ni waongo na waovu, huku wengine wakitaka apelekwe gerezani kama alivyofanya Diddy na kisha auliwe. Kesi hii, hata hivyo, imeshafutwa baada ya mshitakiwa kuiondoa kwa hiari, na hivyo kuondoa tuhuma hizo kisheria.
Hata hivyo, mjadala unaendelea mitandaoni, huku baadhi ya watu wakidai kuwa haki haikutendeka. Vitisho vinavyotolewa kwa Jay Z na familia yake ni kielelezo cha madhara ya mitandao ya kijamii katika kujenga au kubomoa sifa za watu, hasa katika kesi kubwa kama hii.
NFMC kushirikiana na Nesch Mintech kuanzisha maabara ya kisasa Saudi Arabia
Dkt.Tulia Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi wa Shule ya Wavulana Bunge.
Waziri Mhagama ametoa Agizo Vituo Vyote Vinavyotoa Huduma za Afya Viweke Wazi Mikataba Kwa Wateja.
Wenye malori watakiwa kuweka vifaa vya usalama
Mavunde Akabidhi Jengo la kupumzikia Wananchi Hospitali ya Rufaa ya Dodoma
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
LUKUVI AWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA DAWA ZA KULEVYA
ACT YAITAKA SERIKALI KUONDOA TOZO ZINAZOZUIA BIASHARA KUKUA .
Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Kubadilishana Taarifa Serikalini GovESB.
WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA