

Msanii wa Bongo Fleva, Ibraah, amefichua kuwa hakujiondoa kwa hiari kutoka lebo ya Konde Gang, bali alifukuzwa na bosi wa lebo hiyo, Harmonize. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Ibraah alieleza kuwa alijaribu kuwasiliana na uongozi wa lebo hiyo lakini hakupata msaada wowote. Aidha, alidai kuwa Harmonize anamtaka alipe kiasi cha shilingi bilioni moja ili kuvunja mkataba wake na lebo hiyo
Hii si mara ya kwanza kwa msanii kutoka Konde Gang kudai kufukuzwa. Killy, msanii mwingine wa zamani wa lebo hiyo, pia alidai kufukuzwa, na Harmonize alijibu madai hayo kwa kusema kuwa aliwapa kila kitu wasanii wake.
Kwa sasa, Ibraah anaendelea na kazi yake ya muziki kama msanii huru, na ametoa nyimbo mpya kama "Copy & Paste" na "Tano".
EVANCE KAMENGE AJITOLEA KUSAIDIA JAMII KAGERA
SERIKALI KUTEKELEZA MFUKO WA UBUNIFU WA SAMIA “SAMIA INNOVATION FUND” WENYE THAMANI YA BIL 2.3
SERIKALI YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU 70,657 UTEKELEZAJI MITAALA ILIYOBORESHWA, YAANZA MAPITIO SHERIA YA ELIMU
DKT. DORIYE AVISHA VYEO VYA KIJESHI MAAFISA 145 NA ASKARI 476 WA NCAA NA KUSISITIZA UCHAPAKAZI, NIDHAMU, MAADILI NA UZALENDO KATIKA ULINZI WA RASILIMALI.
WAHUKUMIWA MIAKA 20 GEREZANI KWA KUHUJUMU MRADI WA ETDCO
Watu Wenye Ulemavu Waomba Kuangaliwa kwa Jicho la Kipekee Katika Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote.
Sekta ya Uvuvi imetoa ajira ya Moja Kwa Moja Kwa Wavuvi 201,661
BODI YA ITHIBATI YATAMBULISHWA RASMI BUNGENI
SERIKALI Imeendelea Kujenga na Kuboresha Miundombinu ya Viwanja vya Ndege
MKURUGENZI WA MASOKO TTB AELEZA FURSA INAYOWEZA KUPATA TANZANIA KUTOKA JAPAN KATIKA ELIMU YA UTALII NA UHIFADHI