Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize" | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Msanii wa Bongo Fleva, Ibraah, amefichua kuwa hakujiondoa kwa hiari kutoka lebo ya Konde Gang, bali alifukuzwa na bosi wa lebo hiyo, Harmonize. Katika mahojiano ya hivi karibuni, Ibraah alieleza kuwa alijaribu kuwasiliana na uongozi wa lebo hiyo lakini hakupata msaada wowote. Aidha, alidai kuwa Harmonize anamtaka alipe kiasi cha shilingi bilioni moja ili kuvunja mkataba wake na lebo hiyo

GIlbert ludovick
By GIlbert ludovick
07 May 2025
Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Hii si mara ya kwanza kwa msanii kutoka Konde Gang kudai kufukuzwa. Killy, msanii mwingine wa zamani wa lebo hiyo, pia alidai kufukuzwa, na Harmonize alijibu madai hayo kwa kusema kuwa aliwapa kila kitu wasanii wake. 

Kwa sasa, Ibraah anaendelea na kazi yake ya muziki kama msanii huru, na ametoa nyimbo mpya kama "Copy & Paste" na "Tano".

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

"A$AP Rocky Amzuia  rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

"A$AP Rocky Amzuia rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"