

JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesitisha shughuli ya kupokea vijana waliochaguliwa kujiunga na jeshi hilo mwaka huu kufuatia muda wa kisheria uliowekwa kupokea vijana hao kumalizika
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limesitisha shughuli ya kupokea vijana waliochaguliwa kujiunga na jeshi hilo mwaka huu kufuatia muda wa kisheria uliowekwa kupokea vijana hao kumalizika
Akizungumzia kusitishwa kwa shughuli hiyo hiyo Mkuu wa JKT tawi la utawala Brigedia Jenerali Hassan Mabena amesema jeshi lilitangaza kupokea vijana hao na kuwataka kuripoti kuanzia Juni mosi mwaka huu hadi Juni 11,2023 hivyo mtu ambaye hajaripoti hadi sasa hatopokelewa tena.
Amesema kuwa walikuwa na muda wa kutosha tangu walipopata tangazo ambapo ilikuwa zaidi ya wiki mbili hivyo hawawezi kwenda kinyume na muda uliopangwa kutokana na kwamba wanaendana kwa utaratibu wa silabi.
"Ninaomba nitoe rai kwa wazazi na walezi na vijana wanapaswa kuhudhuria mafunzo haya mara tangazo litapotolewa wafanye maandalizi yao mapema kwa kuwa muda wakiripoti ni mrefu basi waweze kuripoti kwa muda uliopangwa bila kuathiri mafunzo na ratiba ambazo zimepangwa ndani ya jeshi lakujenga Taifa," amesema Mabena
Ikumbukwe kuwa serikali ilivunja mafunzo ya JKT mwaka 1994 na baadaye kuamua kuyarejesha baada ya kuona uzalendo na maadili yanashuka miongoni mwa baadhi ya vijana hapa nchini.
NFMC kushirikiana na Nesch Mintech kuanzisha maabara ya kisasa Saudi Arabia
Dkt.Tulia Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi wa Shule ya Wavulana Bunge.
Waziri Mhagama ametoa Agizo Vituo Vyote Vinavyotoa Huduma za Afya Viweke Wazi Mikataba Kwa Wateja.
Wenye malori watakiwa kuweka vifaa vya usalama
Mavunde Akabidhi Jengo la kupumzikia Wananchi Hospitali ya Rufaa ya Dodoma
PPAA yatoa elimu matumizi ya Moduli Wiki ya Utumishi wa Umma
LUKUVI AWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA DAWA ZA KULEVYA
Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Kubadilishana Taarifa Serikalini GovESB.
ACT YAITAKA SERIKALI KUONDOA TOZO ZINAZOZUIA BIASHARA KUKUA .
WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA