

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya hiyo Alhaj Jabir Shekimweri wameipongeza bodi ya bima ya amana (DIB)kwa kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu shughuli zinazofanywa na bodi hiyo.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya hiyo Alhaj Jabir Shekimweri wameipongeza bodi ya bima ya amana (DIB)kwa kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu shughuli zinazofanywa na bodi hiyo.
Pongezi hizo wamezitoa mara baada ya kutembelea banda la Bodi ya Bima ya Amana katika Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma.
Pichani, akikabidhiwa zawadi na machapisho pamoja na vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea shughuli za bodi hiyo na maofisa wa DIB.
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akifurahia zawadi yake aliyekabidhiwa katika banda la DIB mara baada ya kutembelea banda la taasisi hiyo katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri akipokea zawadi kutoka kwa maofisa wa DIB wakati alipotembelea banda hilo pamoja na Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule.
VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YAO YA NDANI PASIPO KUZUA TAHARUKI ILI KULINDA AMANI YA NCHI.
WANANCHI WAKARIBISHWA NANENANE KUFAHAMU KWA KINA MPANGO MAHSUSI WA NISHATI 2025-2030.
RAIS SAMIA AWAFUTA MACHOZI YA KUNI AKINA MAMA NCHINI.
KIBAHA YAANZA MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025
TAWA YATUMIA MAONESHO YA 31 YA NANE NANE 2025 KUELIMISHA UMMA NA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII
CCM Yatangaza Wagombea Nafasi Ya Ubunge Waliopenya Kwenye Mchujo:Mpina,Makamba Waenguliwa.
TADB Yawawezesha Wakulima Wadogo Mikopo Yenye Dhamana Nafuu.
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MAONESHO YA NANENANE KITAIFA 2025.
Coop Bank Imejipanga Kutoa Huduma Maalum kwa Washiriki wa Maonesho ya NaneNane.
WAZIRI MKUYA AZIPONGEZA DIB, BoT KUSHUGHULIKIA UFILISI WA FBME