SENYAMULE AIPONGEZA DIB UTOAJI WA ELIMU KWENYE MAONESHO NANENANE. | The Dodoma Post
The Dodoma Post Biashara

SENYAMULE AIPONGEZA DIB UTOAJI WA ELIMU KWENYE MAONESHO NANENANE.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya hiyo Alhaj Jabir Shekimweri wameipongeza bodi ya bima ya amana (DIB)kwa kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu shughuli zinazofanywa na bodi hiyo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
04 Aug 2025
SENYAMULE AIPONGEZA DIB UTOAJI WA ELIMU KWENYE MAONESHO NANENANE.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule akiongozana na Mkuu wa Wilaya ya hiyo Alhaj Jabir Shekimweri wameipongeza bodi ya bima ya amana (DIB)kwa kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu shughuli zinazofanywa na bodi hiyo. 

Pongezi hizo wamezitoa mara baada ya kutembelea banda la Bodi ya Bima ya Amana katika Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya Nzuguni, jijini Dodoma. 

Pichani, akikabidhiwa zawadi na machapisho pamoja na  vipeperushi mbalimbali vinavyoelezea shughuli za bodi hiyo na maofisa wa DIB.

Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule akifurahia zawadi yake aliyekabidhiwa katika banda la DIB mara baada ya kutembelea banda la taasisi hiyo katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kwenye viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mhe. Alhaj Jabir Shekimweri akipokea zawadi kutoka kwa maofisa wa DIB wakati alipotembelea banda hilo pamoja na Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule.

WANANCHI  WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODIMA.

WANANCHI WAKARIBISHWA BANDA LA WIZARA YA NISHATI NANENANE DODIMA.

Uzalishaji Wa Madini Umeongezeka kutoka Tani 18.21 Hadi Tani 27.43

Uzalishaji Wa Madini Umeongezeka kutoka Tani 18.21 Hadi Tani 27.43

Simiyu Yajivunia Ongezeko La Mapato TRA kutoka Bilioni 9.55 Hadi Bilioni 25.46

Simiyu Yajivunia Ongezeko La Mapato TRA kutoka Bilioni 9.55 Hadi Bilioni 25.46

Mkoa Wa Mara Umezalisha Dhahabu Yenye Uzito Wa Tani 58.90 Sawa na Trillioni 6.90

Mkoa Wa Mara Umezalisha Dhahabu Yenye Uzito Wa Tani 58.90 Sawa na Trillioni 6.90

UFUGAJI WA SAMAKI KWA KUTUMIA NJIA YA KISASA UMEONGEZEKA.

UFUGAJI WA SAMAKI KWA KUTUMIA NJIA YA KISASA UMEONGEZEKA.