YANGA SC KUTAFUTA MSHAMBULIAJI TISHIO DIRISHA DOGO. | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

YANGA SC KUTAFUTA MSHAMBULIAJI TISHIO DIRISHA DOGO.

Klabu ya Yanga sc licha ya kuwa miongoni mwa klabu zinazofanya vizuri kwasasa kwenye kikosi chao lakini kuelekea dirisha dogo kocha amependekeza usajili wa maeneo kadhaa ili kuboresha kikosi hiko cha wananchi.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
30 Nov 2023
YANGA SC KUTAFUTA MSHAMBULIAJI TISHIO DIRISHA DOGO.

Yanga sc wanahitaji kutafuta natural wingers wenye ubora mkubwa wa kuichezea Yanga sc na kuipambania klabu hiyo kweye michuano mikubwa ndani na nje ya Tanzania.

Lakini pia Yanga sc ipo mawindoni kutafuta mshambuliaji tishio ambaye ataenda kuongeza nguvu kwenye safu ya ushambuliaji katika kikosi hiko cha wananchi.

Ni kweli wanao washambuliaji kadhaa akiwemo Hafiz Konkoni, Kennedy Musonda na Clement Mzize lakini bado klabu inahitaji mshambuliaji hatari zaidi ukizingatia Hafiz tetesi zinaeleza ataachwa katika dirisha dogo la usajili baada ya kuonekana hajakidhi mahitaji ya klabu.

Yapo majina mengi ya wachezaji wanaohusishwa na Yanga sc akiwemo Karamoko Sankara pamoja na Lionel Kateba wote hao wanahusishwa kujiunga na wananchi kwenye dirisha dogo la usajili.
 

BONAZA LA MICHEZO KUFANYIKA JULAI 20-28 PEMBA.

BONAZA LA MICHEZO KUFANYIKA JULAI 20-28 PEMBA.

NDOTO YA LEBRON JAMES YA KUCHEZA NA MWANAE TIMU MOJA YATIMIA BADO YA RONALDO NA MWANAE

NDOTO YA LEBRON JAMES YA KUCHEZA NA MWANAE TIMU MOJA YATIMIA BADO YA RONALDO NA MWANAE

TIMU ya mahakama mpira wa miguu yaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Bunge.

TIMU ya mahakama mpira wa miguu yaibuka na ushindi dhidi ya timu ya Bunge.

Mavunde awavuta nyota wa Yanga, Ujirani mwema ndondo Cup Dodoma

Mavunde awavuta nyota wa Yanga, Ujirani mwema ndondo Cup Dodoma

YANGA na Azam Fc zapishana Robo Finali ASFC

YANGA na Azam Fc zapishana Robo Finali ASFC