NDOTO YA LEBRON JAMES YA KUCHEZA NA MWANAE TIMU MOJA YATIMIA BADO YA RONALDO NA MWANAE | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

NDOTO YA LEBRON JAMES YA KUCHEZA NA MWANAE TIMU MOJA YATIMIA BADO YA RONALDO NA MWANAE

Gwiji wa mpira wa Kikapu wa Marekani, LeBron James anatarajiwa kuwa mchezaji wa kwanza kucheza ‘timu’ moja na mwanawe wa kwanza, #BronnyJames.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
28 Jun 2024
NDOTO YA LEBRON JAMES YA KUCHEZA NA MWANAE TIMU MOJA YATIMIA BADO YA RONALDO NA MWANAE

Mpango huo umewezekana baada ya ‘timu’ ya Los Angeles Lakers kumsajili #Bronny mwenye umri wa miaka 19, akitokea katika ngazi ya michuano ya vyuo nchinu humo.

Hata hivyo, imeelezwa kuwa, ilikuwa kiu kubwa kwa #LeBronJames kucheza timu moja na mwanawe, baada ya kusubiri hilo kwa miaka 21 iliyopita.
 

GRAND BUNGE  BONANZA KUFANYIKA  JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

Mashindano ya Polisi Jamii  Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Mashindano ya Polisi Jamii Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo