

Viongozi wa dini Mkoa wa Katavi wamefanya Kikao maalumu kujadili kuhusu amani na Mshikamano wa Watanzania, wakihamasisha wananchi kuendelea kutunza na kudumisha amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.
Viongozi wa dini Mkoa wa Katavi wamefanya Kikao maalumu kujadili kuhusu amani na Mshikamano wa Watanzania, wakihamasisha wananchi kuendelea kutunza na kudumisha amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.
Viongozi hao Kwa pamoja wamesema kila Mtanzania anayo nafasi ya kuilinda tunu ya amani tukiyoachiwa na baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na uchaguzi usiwe sehemu ya kuleta mgawanyiko na kuvuruga amani kwani kukosekana kwa amani kwenye Jamii kunachangia Kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya Tanzania.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na kamati ya amani ambaye pia ni Shekhe wa Mkoa waka Katavi Sheikh Mashaka Nassor Kakulukulu amesema katika kipindi hiki watanzania wanatakiwa kuungana na kuzika tofauti za udini ukabila na nyinginezo ili kuvuka salama katika kipindi cha uchaguzi na amani ndio nguzo ya maendeleo kwani hakuna maendeleo pasipo amani.
Hakuna Maendeleo Bila Amani, Hakuna Taifa Imara Bila Mshikamano - Dkt. Judith
WOTE WENYE HOMA ZA UCHAGUZI MSIKUBALI ZIKAPANDA KICHWANI, TUTAWADHIBITI- KANALI MTAMBI
PADRI NIKATA ALIJIPOTEZA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA KUACHWA NA MPENZI WAKE- POLISI
CHALAMILA: WATAKAOJIZIMA DATA OKTOBA 29, TUTAWAFANYA NETWORK ZISOME
VIONGOZI WA KIMASAI WAAHIRISHA TOHARA KWA VIJANA 2,000 KUPISHA UCHAGUZI MKUU
PADRI NIKATA ALIJIPOTEZA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA KUACHWA NA MPENZI WAKE- POLISI
BRIGEDIA JENERALI NDAGALA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA USIMAMIZI WA MAAFA JIJINI MBEYA
DOWOSA Yawaokoa Wanawake Dodoma Kutoka Mikononi mwa “Kausha Damu”
TUMEJIANDAA VYEMA KUDHIBITI UHALIFU NA WAHALIFU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU- POLISI
AMANI NDIYO UISLAMU, TUIHUBIRI NA KUILINDA- MUFTI ABUBAKAR