VIONGOZI WA DINI KATAVI WATOA KAULI "UCHAGUZI USITUGAWANYE" | The Dodoma Post
The Dodoma Post Tanzania

VIONGOZI WA DINI KATAVI WATOA KAULI "UCHAGUZI USITUGAWANYE"

Viongozi wa dini Mkoa wa Katavi wamefanya Kikao maalumu kujadili kuhusu amani na Mshikamano wa Watanzania, wakihamasisha wananchi kuendelea kutunza na kudumisha amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
18 Oct 2025
VIONGOZI WA DINI KATAVI WATOA KAULI "UCHAGUZI USITUGAWANYE"

Viongozi wa dini Mkoa wa Katavi wamefanya Kikao maalumu kujadili kuhusu amani na Mshikamano wa Watanzania, wakihamasisha wananchi kuendelea kutunza na kudumisha amani hasa katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025.

Viongozi hao Kwa pamoja wamesema kila Mtanzania anayo nafasi ya kuilinda tunu ya amani tukiyoachiwa na baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere na uchaguzi usiwe sehemu ya kuleta mgawanyiko na kuvuruga amani kwani kukosekana kwa amani kwenye Jamii kunachangia Kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya Tanzania.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na kamati ya amani ambaye pia ni Shekhe wa Mkoa waka Katavi Sheikh Mashaka Nassor Kakulukulu amesema katika kipindi hiki watanzania wanatakiwa kuungana na kuzika tofauti za udini ukabila na nyinginezo ili kuvuka salama katika kipindi cha uchaguzi na amani ndio nguzo ya maendeleo kwani hakuna maendeleo pasipo amani.

PADRI NIKATA ALIJIPOTEZA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA KUACHWA NA MPENZI WAKE- POLISI

PADRI NIKATA ALIJIPOTEZA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA KUACHWA NA MPENZI WAKE- POLISI

CHALAMILA: WATAKAOJIZIMA DATA OKTOBA 29, TUTAWAFANYA NETWORK ZISOME

CHALAMILA: WATAKAOJIZIMA DATA OKTOBA 29, TUTAWAFANYA NETWORK ZISOME

Dkt. Saada Mkuya: Uchaguzi Bila Vurugu Unawezekana, Bima Haziwezi Kulipa Madhara ya Kujitakia

Dkt. Saada Mkuya: Uchaguzi Bila Vurugu Unawezekana, Bima Haziwezi Kulipa Madhara ya Kujitakia

JWTZ YAWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI, LIKIONYA KUHUSU UPOTOSHAJI MITANDAONI

JWTZ YAWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI, LIKIONYA KUHUSU UPOTOSHAJI MITANDAONI

TUME YA UCHAGUZI YAONYA WANAOSHAWISHI KUTOPIGA KURA “NI KOSA KISHERIA’

TUME YA UCHAGUZI YAONYA WANAOSHAWISHI KUTOPIGA KURA “NI KOSA KISHERIA’