ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Rapa maarufu Kutokea nchini marekani na mdau wa mitindo ASAP Rocky hakuacha kutabasamu alipokuwa akijibu swali la uwezekano wa ushirikiano wa nyimbo na mpenzi wake Rihanna. Alikuwa na jibu la kufurahisha alipoulizwa jinsi kolabo yao itakavyokua kati ya wawili hao.

gilbert ludovick
By gilbert ludovick
23 Nov 2023
ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Rapa huyo na "Fashion Killa" alisema, "Ikiwa mimi na mwanamke wangu tungeshirikiana, tungeshirikiana  tu kwenye vitu vinavyotupa furaha kwa sasa ambavyo ni kutengeneza Watoto.                                                                            Nadhani tunafanya kazi nzuri sana katika kushirikiana na kutengeneza watoto. Baada ya kicheko  na tabasamu kubwa, alisema kwa shauku,   

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                 "Nadhani hiyo ndiyo kazi yetu bora zaidi kwa sasa. Hakuna kitu bora kuliko hicho, na sidhani kama kuna muundo mwingine bora zaidi. Namaanisha, tulikuwa na mbunifu wa tatu aliyeingia na kusaidia, mbunifu wa roho anayeitwa Mungu, unajua? Aliingia na kuunda kila kitu, na sasa tuna malaika hawa wazuri. Kwa hivyo, huo ndio ushirikiano bora zaidi."

Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji