ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Rapa maarufu Kutokea nchini marekani na mdau wa mitindo ASAP Rocky hakuacha kutabasamu alipokuwa akijibu swali la uwezekano wa ushirikiano wa nyimbo na mpenzi wake Rihanna. Alikuwa na jibu la kufurahisha alipoulizwa jinsi kolabo yao itakavyokua kati ya wawili hao.

gilbert ludovick
By gilbert ludovick
23 Nov 2023
ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Rapa huyo na "Fashion Killa" alisema, "Ikiwa mimi na mwanamke wangu tungeshirikiana, tungeshirikiana  tu kwenye vitu vinavyotupa furaha kwa sasa ambavyo ni kutengeneza Watoto.                                                                            Nadhani tunafanya kazi nzuri sana katika kushirikiana na kutengeneza watoto. Baada ya kicheko  na tabasamu kubwa, alisema kwa shauku,   

                                                                                                                                                                                                                                                                                                                 "Nadhani hiyo ndiyo kazi yetu bora zaidi kwa sasa. Hakuna kitu bora kuliko hicho, na sidhani kama kuna muundo mwingine bora zaidi. Namaanisha, tulikuwa na mbunifu wa tatu aliyeingia na kusaidia, mbunifu wa roho anayeitwa Mungu, unajua? Aliingia na kuunda kila kitu, na sasa tuna malaika hawa wazuri. Kwa hivyo, huo ndio ushirikiano bora zaidi."

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto