Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Baada ya siku chache kupita tangu mchekeshaji kutoka nchini Kenya, EricOmondi kulipwa zaidi ya Tsh 81 milioni kufichua sura ya mtoto wake wa kike (Kyla), hatimaye ameonesha sura ya mtoto huyo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
23 Nov 2023
Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Eric alisema kuwa hatokuja kuonesha sura ya mwanaye hadi mtu alipe ksh 50 milioni, ambapo atakayelipa pesa hiyo ndiye atakuwa mtu wa kwanza kumuona mtoto na atapata nafasi ya kuitumia picha ya sura ya kichanga huyo katika biashara zake kama vile majarida ya watoto au maduka makubwa ya nguo za watoto.

 

Kauli hiyo imetimia ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-post video ya mtoto wake ikionesha kuwa Kyla ni brand ambassador katika duka la bidhaa za watoto lililopo nchini Kenya.

Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji