

Baada ya siku chache kupita tangu mchekeshaji kutoka nchini Kenya, EricOmondi kulipwa zaidi ya Tsh 81 milioni kufichua sura ya mtoto wake wa kike (Kyla), hatimaye ameonesha sura ya mtoto huyo.
Eric alisema kuwa hatokuja kuonesha sura ya mwanaye hadi mtu alipe ksh 50 milioni, ambapo atakayelipa pesa hiyo ndiye atakuwa mtu wa kwanza kumuona mtoto na atapata nafasi ya kuitumia picha ya sura ya kichanga huyo katika biashara zake kama vile majarida ya watoto au maduka makubwa ya nguo za watoto.
Kauli hiyo imetimia ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram ame-post video ya mtoto wake ikionesha kuwa Kyla ni brand ambassador katika duka la bidhaa za watoto lililopo nchini Kenya.
Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Kubadilishana Taarifa Serikalini GovESB.
LUKUVI AWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA DAWA ZA KULEVYA
UDSM YASAINI MAKUBALIANO NA KAMPUNI ZA CHINA KUTOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WA CHUO HICHO.
WATENDAJI WA UBORESHAJI WA DAFTARI MAGEREZA NA VYUO VYA MAFUNZO WANOLEWA
MAONESHO YA UTALII NA UWEKEZAJI ZANZIBAR; FURSA KWA WANANCHI KUJUA VIVUTIO VYA UTALII VILIVYOPO NGORONGORO
GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.
CDE SALUM ATANGAZA NIA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAHAMA MJINI.
KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI
NISHATI YA GESI ASILIA IMEKUWA NA MCHANGO MKUBWA KWA NCHI.
MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.