Msanii wa Hip-Hop nchini #RosaRee ametajwa kwenye orodha ya #Grammy ambayo imewaangazia wasanii wakike10 wa Afro Hip Hop ambao wanapaswa kutiliwa maanani kutokana na ubora wao katika muziki huo.
Hatua hii huwenda ikawa njia kwa mwanamuziki huyo kuingia kwenye Tuzo za #Grammy ambazo ndiyo Tuzo kubwa Duniani.
Wasanii wengine wa kike kutoka Afrika ambao wametajwa kwenye ‘listi’ hiyo ni #ShoMadjozi kutoka Afrika Kusini #FemiOne kutoka nchini Kenya na wengineo.
BRIGEDIA Jenerali Ngata Apongezwa uongozi makini SUMAJKT
VIJANA NDIO WALINZI WA NCHI HII: MEJA JENERALI RAJABU MABELE
VIONGOZI SOKO LA MACHINGA DODOMA WASIMAMISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
WAZIRI CHANA ATETA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
BRELA YAWATAKA WASANIFU MAJENGO NA WAJASIRIAMALI KUTUMIA VIZURI BUNIFU ZAO.