ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Msanii wa Hip-Hop nchini #RosaRee ametajwa kwenye orodha ya #Grammy ambayo imewaangazia wasanii wakike10 wa Afro Hip Hop ambao wanapaswa kutiliwa maanani kutokana na ubora wao katika muziki huo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
28 Mar 2024
ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Hatua hii huwenda ikawa njia kwa mwanamuziki huyo kuingia kwenye Tuzo za #Grammy ambazo ndiyo Tuzo kubwa Duniani.

Wasanii wengine wa kike kutoka Afrika ambao wametajwa kwenye ‘listi’ hiyo ni #ShoMadjozi kutoka Afrika Kusini #FemiOne kutoka nchini Kenya na wengineo.

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto

Snoop Dogg kudai kuacha kuvuta sigara ilikua kiki

Snoop Dogg kudai kuacha kuvuta sigara ilikua kiki