![Mwandishi Wetu](https://thedodomapost.co.tz/media/prof/logo.png)
![ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY](https://thedodomapost.co.tz/media/news/1711633827.jpg)
Msanii wa Hip-Hop nchini #RosaRee ametajwa kwenye orodha ya #Grammy ambayo imewaangazia wasanii wakike10 wa Afro Hip Hop ambao wanapaswa kutiliwa maanani kutokana na ubora wao katika muziki huo.
Hatua hii huwenda ikawa njia kwa mwanamuziki huyo kuingia kwenye Tuzo za #Grammy ambazo ndiyo Tuzo kubwa Duniani.
Wasanii wengine wa kike kutoka Afrika ambao wametajwa kwenye ‘listi’ hiyo ni #ShoMadjozi kutoka Afrika Kusini #FemiOne kutoka nchini Kenya na wengineo.
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUA DED MAFIA KASSIM NDUMBO
RAIS DKT SAMIA ATAJWA SHUJAA WA UWEKEZAJI.
DKT.TULIA AMUAPISHA BALOZI KOMBO AMTAKA KUCHAPA KAZI.
RAIS DK.SAMIA awaongoza watanzania maadhimisho ya siku ya mashujaa.
KAGERA, GEITA WATAKIWA KUTUNZA VIFAA VYA UBORESHAJI
DIRA YA TAIFA 2050 NI MAONO YA NCHI SIKU ZA USONI - DKT. BITEKO
WAZIRI BASHE ATANGAZA NEEMA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATAVI.
HISTORIA IMEANDIKWA SGR YAZINDUA SAFARI ZAKE RASMI DAR ES SALAAM-DODOMA.
Vijiji 151 vimebaki nchi nzima kupata huduma ya umeme - Kapinga
WAZIRI MKUU AZINDUA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KIGOMA.