ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Msanii wa Hip-Hop nchini #RosaRee ametajwa kwenye orodha ya #Grammy ambayo imewaangazia wasanii wakike10 wa Afro Hip Hop ambao wanapaswa kutiliwa maanani kutokana na ubora wao katika muziki huo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
28 Mar 2024
ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Hatua hii huwenda ikawa njia kwa mwanamuziki huyo kuingia kwenye Tuzo za #Grammy ambazo ndiyo Tuzo kubwa Duniani.

Wasanii wengine wa kike kutoka Afrika ambao wametajwa kwenye ‘listi’ hiyo ni #ShoMadjozi kutoka Afrika Kusini #FemiOne kutoka nchini Kenya na wengineo.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

"A$AP Rocky Amzuia  rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

"A$AP Rocky Amzuia rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

KANYE WEST AMUOMBA TRUMP KUMUACHIA HURU NDUGU YAKE SEAN "DIDDY"

KANYE WEST AMUOMBA TRUMP KUMUACHIA HURU NDUGU YAKE SEAN "DIDDY"

SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR KUKUTANISHA WASANII BARANI AFRIKA KWENYE JUKWAA MOJA.

SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR KUKUTANISHA WASANII BARANI AFRIKA KWENYE JUKWAA MOJA.