MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

Mwimbaji wa kundi la Zabron Singer, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
22 Aug 2024
MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

Shemeji wa marehemu, Tecla Lucas ameiambia Mwananchi kuwa mwili wa marehemu bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali hiyo, wakisubiri ratiba za mazishi kupangwa.

"Amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa Hospitali ya Muhimbili jana usiku msiba utakuwa Mikocheni kwa mama yake mdogo, mwili kwa sasa bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti,"amesema Tecla

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Mali za Tekashi kupigwa mnada kulipa fiadia mahakamani

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

Baada ya kulipwa mil.81 Eric Omondi afichua sura ya mwanae

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

ASAP Rocky Asema Kolabo Yake Bora Na Rihanna Ni Watoto Wao

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto

Asap na Rihanna Waamua Kuweka kipaumbele zaidi kwa watoto