Mwimbaji wa kundi la Zabron Singer, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Shemeji wa marehemu, Tecla Lucas ameiambia Mwananchi kuwa mwili wa marehemu bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali hiyo, wakisubiri ratiba za mazishi kupangwa.
"Amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa Hospitali ya Muhimbili jana usiku msiba utakuwa Mikocheni kwa mama yake mdogo, mwili kwa sasa bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti,"amesema Tecla
BRIGEDIA Jenerali Ngata Apongezwa uongozi makini SUMAJKT
VIJANA NDIO WALINZI WA NCHI HII: MEJA JENERALI RAJABU MABELE
VIONGOZI SOKO LA MACHINGA DODOMA WASIMAMISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
WAZIRI CHANA ATETA NA UJUMBE WA BENKI YA DUNIA
BRELA YAWATAKA WASANIFU MAJENGO NA WAJASIRIAMALI KUTUMIA VIZURI BUNIFU ZAO.