MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

Mwimbaji wa kundi la Zabron Singer, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
22 Aug 2024
MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

Shemeji wa marehemu, Tecla Lucas ameiambia Mwananchi kuwa mwili wa marehemu bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali hiyo, wakisubiri ratiba za mazishi kupangwa.

"Amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa Hospitali ya Muhimbili jana usiku msiba utakuwa Mikocheni kwa mama yake mdogo, mwili kwa sasa bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti,"amesema Tecla

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

Serikali imeratibu jumla ya matamasha matatu ya Kitaifa ya utamaduni.

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

DrKumbuka Afunguka Kuhusu Kuvunjika kwa Ndoa ya Haji Manara na Zaiylissa

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

WASANII WAPEWA MAFUNZO YA KUGEUZA SANAA KUTOKA KUWA BURUDANI HADI BIASHARA.

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

Jay Z na Familia Yake Wapata Vitisho Kufuatia Kesi ya Ubakaji

"A$AP Rocky Amzuia  rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

"A$AP Rocky Amzuia rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"