

Huku A$AP Rocky akijiandaa kujibu mashtaka ya kumpiga risasi rafiki yake wa zamani, chanzo cha karibu cha rapa huyo na Rihanna kilieleza kuwa wazazi hao "wanaojaliana" wanatanguliza familia.
Chanzo hicho kilisema, "Rihanna na A$AP ni timu na wataendelea kusaidiana kila wakati." Chanzo hicho kilisema watoto wao wawili wanabakia kuwa kipaumbele chao cha kwanza, na kuongeza kuwa A$AP na Rihanna wako waangalifu kutoruhusu kinachoendelea katika maisha yao nje ya nyumba kuathiri amani ya watoto wao.
BODI YA MKONGE TANZANIA YATANGAZA FURSA KWA WATANZANIA.
SHERIA ZILIZOTAFSIRIWA KWA LUGHA YA KISWAHILI KUTOKA MWEZI AGOSTI.
DCEA:SERIKALI IMEPUNGUZA KASI YA WALAIBU WA DAWA ZA KULEVYA.
ULINZI NA USALAMA BAHARINI UMEIMARIKA;TASAC
VITONGOJI VYOTE 64,359 VITAKUWA NA UMEME IFIKAPO 2030
Maiko Salali achukua fomu ya ubunge Jimbo la Mpwapwa
SERIKALI IMEPUNGUZA TOZO KATIKA ZAO LA KAHAWA KUTOKA 17 HADI 5.
Mkoa wa Katavi umeendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo ya Afya ya Msingi (MMAM)
UDOM KUJA NA TEKNOLOJIA MPYA YA KUUZA VIMIMINIKA.
AMANZI NA BABU TALE USO KWA USO JIMBONI