DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

Hatimaye michuano ya East Africa Basketball Champions Cup 2024 Zone five ambayo ilikuwa ikifanyika Nairobi Kenya imekamilika na kupelekea kupelekea timu ya kikapu kutokea Tanzania ya Dar City kufuzu kucheza ligi ya kanda za Africa kwa kucheza na zones (Kanda) nyingine baada ya kuibuka washindi wa Pili wa michuano hiyo kwa kushinda Game nne kati ya tano huku timu kutoka Burundi ikishika nafasi ya kwanza na kenya nafasi ya tatu..

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
16 Dec 2024
DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

Katika Mashindano hayo yaliyomalizika leo hii katika Uwanja Nyayo Stadium Nairobi, Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na timu mbili ambapo moja ni ABC na nyingine ni Dar City kutoka Mataifa kama Burundi na Kenya zikiwakilishwa na KPA, Eauity na Hippos…

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi

Kylian Mbappé: Mapambano ya Kifundo cha Mguu na Tumaini la Ushindi

Kylian Mbappé: Mapambano ya Kifundo cha Mguu na Tumaini la Ushindi

MCHEZO WA RIADHA KINARA, KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

MCHEZO WA RIADHA KINARA, KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.