DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

Hatimaye michuano ya East Africa Basketball Champions Cup 2024 Zone five ambayo ilikuwa ikifanyika Nairobi Kenya imekamilika na kupelekea kupelekea timu ya kikapu kutokea Tanzania ya Dar City kufuzu kucheza ligi ya kanda za Africa kwa kucheza na zones (Kanda) nyingine baada ya kuibuka washindi wa Pili wa michuano hiyo kwa kushinda Game nne kati ya tano huku timu kutoka Burundi ikishika nafasi ya kwanza na kenya nafasi ya tatu..

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
16 Dec 2024
DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

Katika Mashindano hayo yaliyomalizika leo hii katika Uwanja Nyayo Stadium Nairobi, Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na timu mbili ambapo moja ni ABC na nyingine ni Dar City kutoka Mataifa kama Burundi na Kenya zikiwakilishwa na KPA, Eauity na Hippos…

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.

Ndaisaba azidi kumwaga  Fedha katika sekta ya Michezo Wilayani Ngara

Ndaisaba azidi kumwaga Fedha katika sekta ya Michezo Wilayani Ngara

MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR ATAKA KANUNI NA MAADILI MICHEZONI ZIWEKWE ILI KUONDOA MITIZAMO HASI.

MAKAMU WA RAIS ZANZIBAR ATAKA KANUNI NA MAADILI MICHEZONI ZIWEKWE ILI KUONDOA MITIZAMO HASI.