

Hatimaye michuano ya East Africa Basketball Champions Cup 2024 Zone five ambayo ilikuwa ikifanyika Nairobi Kenya imekamilika na kupelekea kupelekea timu ya kikapu kutokea Tanzania ya Dar City kufuzu kucheza ligi ya kanda za Africa kwa kucheza na zones (Kanda) nyingine baada ya kuibuka washindi wa Pili wa michuano hiyo kwa kushinda Game nne kati ya tano huku timu kutoka Burundi ikishika nafasi ya kwanza na kenya nafasi ya tatu..
Katika Mashindano hayo yaliyomalizika leo hii katika Uwanja Nyayo Stadium Nairobi, Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na timu mbili ambapo moja ni ABC na nyingine ni Dar City kutoka Mataifa kama Burundi na Kenya zikiwakilishwa na KPA, Eauity na Hippos…
EVANCE KAMENGE AJITOLEA KUSAIDIA JAMII KAGERA
SERIKALI KUTEKELEZA MFUKO WA UBUNIFU WA SAMIA “SAMIA INNOVATION FUND” WENYE THAMANI YA BIL 2.3
SERIKALI YAENDELEA KUTOA MAFUNZO KWA WALIMU 70,657 UTEKELEZAJI MITAALA ILIYOBORESHWA, YAANZA MAPITIO SHERIA YA ELIMU
DKT. DORIYE AVISHA VYEO VYA KIJESHI MAAFISA 145 NA ASKARI 476 WA NCAA NA KUSISITIZA UCHAPAKAZI, NIDHAMU, MAADILI NA UZALENDO KATIKA ULINZI WA RASILIMALI.
WAHUKUMIWA MIAKA 20 GEREZANI KWA KUHUJUMU MRADI WA ETDCO
Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"
Watu Wenye Ulemavu Waomba Kuangaliwa kwa Jicho la Kipekee Katika Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote.
Sekta ya Uvuvi imetoa ajira ya Moja Kwa Moja Kwa Wavuvi 201,661
BODI YA ITHIBATI YATAMBULISHWA RASMI BUNGENI
SERIKALI Imeendelea Kujenga na Kuboresha Miundombinu ya Viwanja vya Ndege