

Hatimaye michuano ya East Africa Basketball Champions Cup 2024 Zone five ambayo ilikuwa ikifanyika Nairobi Kenya imekamilika na kupelekea kupelekea timu ya kikapu kutokea Tanzania ya Dar City kufuzu kucheza ligi ya kanda za Africa kwa kucheza na zones (Kanda) nyingine baada ya kuibuka washindi wa Pili wa michuano hiyo kwa kushinda Game nne kati ya tano huku timu kutoka Burundi ikishika nafasi ya kwanza na kenya nafasi ya tatu..
Katika Mashindano hayo yaliyomalizika leo hii katika Uwanja Nyayo Stadium Nairobi, Tanzania ilikuwa ikiwakilishwa na timu mbili ambapo moja ni ABC na nyingine ni Dar City kutoka Mataifa kama Burundi na Kenya zikiwakilishwa na KPA, Eauity na Hippos…
WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI WAASWA KUZINGATIA MADILI
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI
WAGOMBEA NAFASI YA NGAZI YA URAIS CCM KUTAMBULISHWA KWENYE MIAKA 48 YA CHAMA HICHO.
SERIKALI KUFANYA SENSA YA UZALISHAJI VIWANDA KWA MWAKA WA REJEA 2023.
AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.
MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.
MABADILIKO YA SERA YA ELIMU KUAKISI MABADILIKO YA KITAIFA NA KIMATAIFA.
RASMI UZINDUZI WA SERA YA ELIMU KUFANYIKA TAREHE 1 FEBRUARI 2025.
WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI