

Mbunge wa jimbo la Ngara Ndaisaba Ruhoro amezidi kumwaga Fedha za udhamini kwenye mashindano ya Ligi Daraja la Nne kwa miaka mitatu mfululizo katika Wilaya ya Ngara.
Hayo yamebainishwa leo Septemba 17,2024 na Kamati Tendaji ya Chama Cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Ngara (NDFA) kwa kumpa pongezi na kumshukuru Mbunge wa Jimbo la Ngara NDAISABA GEORGE RUHORO kwa kuendelea kuwa Mdhamini Mkuu kwa miaka Mitatu mfululizo na kutoa fedha za Uendeshaji na zawadi mbalimbali za washindi wanaofanya vizuri katika Ligi Daraja la Nne Wilaya ya Ngara.
Mwaka huu 2024 kwa Bingwa,Ruhoro ametoa Ng'ombe mmoja, Tsh 500,000 na Kombe, Kwa mshindi wa pili ametoa Ng'ombe mmoja na Tsh 300,000/= wakati Mshindi wa Tatu ametoa Ng'ombe mmoja na Tsh 200,000/= sambamba na mfungaji bora wa mashindano akipewa kiasi Tasilimu cha Tsh 20,000/=, Mchezaji Bora Tsh 20,000/=, Kipa bora Tsh 20,000/= na Timu yenye nidhamu Tsh 40,000/=
"NDFA tunaendelea kumshukuru kwa Ufadhili wake wa fedha za kuendesha Mashindano, Zawadi Tasilimu na Ng'ombe. Mhe. Ndaisaba George Ruhoro umeleta chachu ya kuimarisha na kuleta ushindani wa timu zaidi ya 16 zinazoshiriki Ligi yetu kila mwaka, kuibua vipaji Chipukizi
WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI WAASWA KUZINGATIA MADILI
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI
WAGOMBEA NAFASI YA NGAZI YA URAIS CCM KUTAMBULISHWA KWENYE MIAKA 48 YA CHAMA HICHO.
SERIKALI KUFANYA SENSA YA UZALISHAJI VIWANDA KWA MWAKA WA REJEA 2023.
AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.
MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.
MABADILIKO YA SERA YA ELIMU KUAKISI MABADILIKO YA KITAIFA NA KIMATAIFA.
RASMI UZINDUZI WA SERA YA ELIMU KUFANYIKA TAREHE 1 FEBRUARI 2025.
WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI