ELAF YAITAKA SERIKALI KUUNDA CHOMBO MAALUMU CHA KUSHUGHULIKIA UPOTEVU WA WATU NCHINI. | The Dodoma Post
The Dodoma Post Kijamii

ELAF YAITAKA SERIKALI KUUNDA CHOMBO MAALUMU CHA KUSHUGHULIKIA UPOTEVU WA WATU NCHINI.

Taasisi ya Evelasting Legal Aid Foundation(ELAF) imetoa wito kwa serikali kutokushughulikia tatizo la watu kupotea kama uhalifu wa kawaida bali kiundwe kitengo maalumu cha usalama kwa ajili ya kushughulikia changamoto hiyo inayozidi kushika kasi nchini.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
04 Aug 2025
ELAF YAITAKA SERIKALI KUUNDA CHOMBO MAALUMU CHA KUSHUGHULIKIA UPOTEVU WA WATU NCHINI.

Taasisi ya Evelasting Legal Aid Foundation(ELAF) imetoa wito kwa serikali  kutokushughulikia tatizo la watu kupotea kama uhalifu wa kawaida bali kiundwe kitengo maalumu cha usalama kwa ajili ya kushughulikia changamoto hiyo inayozidi kushika kasi nchini.

Akizungumza na waandishi wa habari l3,August 2025 Mkurugenzi wa Taasis hiyo Khamis Masood amesema taarifa kuhusu upotevu wa watu zinafika polisi lakini ukimya wa chombo hicho ni mwingi na huwa hawana majibu yeyote kuhusu tatizo hilo.

“Serikali kupitia wizara ya mambo ya ndani ianzishe kitengo rasmi cha Missing Persons Investigation yenye ujuzi wa kesi za namna hii ili kushirikiana na polisi,jamii na asas za kiraia ili vyombo vya sheria vipate majibu na suluhu za haraka juu ya upotevu wa wananchi”Amesema Khamis.

Aidha amesema kuwa kupotea kwa mtu si swala la la kifamilia tu bali ni swala la kimaadili,kisheria na kiutawala ili kulinda utuhaki na dhamana ya  uhai wa kila Mtanzania

TANESCO YAANZA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA KUBAINI UPOTEVU NA WIZI WA UMEME  UNAOFANYWA NA BAADHI YA WATEJA.

TANESCO YAANZA ZOEZI LA UKAGUZI WA MITA KUBAINI UPOTEVU NA WIZI WA UMEME UNAOFANYWA NA BAADHI YA WATEJA.

TICEZA Kuwapa Watanzania Maeneo Bure Kujenga Viwanda

TICEZA Kuwapa Watanzania Maeneo Bure Kujenga Viwanda

SERIKALI  KUTOA  BILIONI 277 KILA MWAKA KUGHARAMIA HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI.

SERIKALI KUTOA BILIONI 277 KILA MWAKA KUGHARAMIA HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI.

VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YAO YA NDANI PASIPO KUZUA TAHARUKI ILI KULINDA AMANI YA NCHI.

VIONGOZI WA DINI WAASWA KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YAO YA NDANI PASIPO KUZUA TAHARUKI ILI KULINDA AMANI YA NCHI.

TANESCO YAZINDUA MFUMO WA UPOKEAJI TAARIFA KWA SIRI WATAKA WANANCHI KUUTUMIA ILI KURIPOTI VITENDO VYA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA.

TANESCO YAZINDUA MFUMO WA UPOKEAJI TAARIFA KWA SIRI WATAKA WANANCHI KUUTUMIA ILI KURIPOTI VITENDO VYA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA SHIRIKA.