![Mwandishi Wetu](https://thedodomapost.co.tz/media/prof/logo.png)
![JURGEN KLOOP KUONDOKA LIVERPOOL MWISHO WA MSIMU.](https://thedodomapost.co.tz/media/news/1706380925.jpg)
Kocha mkuu wa klabu ya Liverpool Jürgen Kloop ametangaza kuachana na klabu hiyo mwisho wa msimu huu wa 2023/2024.
Kocha wa Manchester City amesema bado mwaka mmoja kwenye mkataba wake na anafikiria kuongeza mkataba pia ili kuendelea kusalia klabuni hapo.
Pep Guardiola pia amefurahia kuhusu taarifa za Jurgen Klopp kuondoka mwishoni wa msimu huu na amesisitiza kuwa miongoni mwa wapinzani bora kuwahi kukutana nao kwenye maisha yake ya soka amemtaja Jurgen Klopp.
Pep Guardiola pia amesema usiku mmoja kabla ya kukutana na Jurgen Klopp ulikuwa usiku mrefu sana huku akisema taarifa ya kuondoka kwa Klopp sasa zitamfanya alale bila mawazo tena.
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU ALIYEKUA DED MAFIA KASSIM NDUMBO
RAIS DKT SAMIA ATAJWA SHUJAA WA UWEKEZAJI.
DKT.TULIA AMUAPISHA BALOZI KOMBO AMTAKA KUCHAPA KAZI.
RAIS DK.SAMIA awaongoza watanzania maadhimisho ya siku ya mashujaa.
KAGERA, GEITA WATAKIWA KUTUNZA VIFAA VYA UBORESHAJI
DIRA YA TAIFA 2050 NI MAONO YA NCHI SIKU ZA USONI - DKT. BITEKO
WAZIRI BASHE ATANGAZA NEEMA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATAVI.
HISTORIA IMEANDIKWA SGR YAZINDUA SAFARI ZAKE RASMI DAR ES SALAAM-DODOMA.
Vijiji 151 vimebaki nchi nzima kupata huduma ya umeme - Kapinga
WAZIRI MKUU AZINDUA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KIGOMA.