Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili

Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA) limeifungia kusajili Simba SC hadi ilipe madai ya klabu ya Teungueth ya Senagal kuhusu dili la mchezaji Pape Sakho.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
23 Nov 2023
Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili

Taarifa ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) imeeleza uamuzi huo uliofanywa na FIFA umetokana na Teungueth kushinda kesi ya madai dhidi ya Simba kutokana na mauzo ya Sakho.

"Klabu hiyo ilifungua kesi FIFA dhidi ya Simba ikidai sehemu ya malipo kutokana na mauzo ya Sakho. Simba ilitakiwa iwe imetekeleza uamuzi huo ndani ya siku 45 tangu ulipotolewa, lakini haikufanya hivyo,"

TFF imeeleza wakati FIFA ikiifungia Simba kufanya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa, wao wameifungia kufanya uhamisho wa ndani.

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.

DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

DAR CITY YAING’ARISHA TANZANIA MASHINDANO YA KIKAPU AFRIKA MASHARIKI

Ndaisaba azidi kumwaga  Fedha katika sekta ya Michezo Wilayani Ngara

Ndaisaba azidi kumwaga Fedha katika sekta ya Michezo Wilayani Ngara