Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili

Shirikisho la Soka la kimataifa (FIFA) limeifungia kusajili Simba SC hadi ilipe madai ya klabu ya Teungueth ya Senagal kuhusu dili la mchezaji Pape Sakho.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
23 Nov 2023
Kisa Sakho Fifa yaifungia Simba kusajili

Taarifa ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) imeeleza uamuzi huo uliofanywa na FIFA umetokana na Teungueth kushinda kesi ya madai dhidi ya Simba kutokana na mauzo ya Sakho.

"Klabu hiyo ilifungua kesi FIFA dhidi ya Simba ikidai sehemu ya malipo kutokana na mauzo ya Sakho. Simba ilitakiwa iwe imetekeleza uamuzi huo ndani ya siku 45 tangu ulipotolewa, lakini haikufanya hivyo,"

TFF imeeleza wakati FIFA ikiifungia Simba kufanya uhamisho wa wachezaji wa kimataifa, wao wameifungia kufanya uhamisho wa ndani.

GRAND BUNGE  BONANZA KUFANYIKA  JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

GRAND BUNGE BONANZA KUFANYIKA JUNI 21 2025 HUKU MGENI RASMI AKITARAJIWA KUWA RAIS SAMIA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.

Mashindano ya Polisi Jamii  Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Mashindano ya Polisi Jamii Kuimarisha mahusiano kati ya Polisi na Wananchi

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

Simba SC Yajivunia Kuendelea na Vita Baada ya Kudondosha Pointi Moroco

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo