ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo | The Dodoma Post
The Dodoma Post Michezo

ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe.

The Dododma Post
By The Dododma Post
03 Apr 2025
ALLY KAMWE mikononi mwa Polisi, yataja chanzo

Akizungumza na waandishi wa Habari leo Alhamisi Aprili 3,2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha jeshi hilo kumshikilia Kamwe.

Abwao ametaja sababu za kumshikilia ofisa habari huyo kuwa ni kutokana na kauli zake chafu dhidi ya viongozi wa Serikali.

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi

Wazee wa Yanga Dodoma watoa msimamo wataka Karia aombe radhi

Kylian Mbappé: Mapambano ya Kifundo cha Mguu na Tumaini la Ushindi

Kylian Mbappé: Mapambano ya Kifundo cha Mguu na Tumaini la Ushindi

MCHEZO WA RIADHA KINARA, KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

MCHEZO WA RIADHA KINARA, KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.

MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.