MPINA WA ACT WAZALENDO ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

MPINA WA ACT WAZALENDO ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT - Wazalendo), Mhe. Luhaga Joelson Mpina.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
15 Aug 2025
MPINA WA ACT WAZALENDO ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT - Wazalendo), Mhe. Luhaga Joelson Mpina. Alichukua fomu hizo leo Agosti 15, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. (Picha na INEC).

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Chama cha Alliance for Change anTransparency (ACT - Wazalendo), Mhe. Mhe. Luhaga Joelson Mpina. Mgombea huyo waliambatana na Mgombea Mwenza, Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej (kushoto) alichukua fomu hizo leo Agosti 15, 2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu. Kulia ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhan Kailima. (Picha na INEC).

Mgombea wa Kiti cha Rais kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Chama cha Alliance for Change anTransparency (ACT - Wazalendo), Mhe. Mhe. Luhaga Joelson Mpinana Mgombea Mwenza, Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej wakionesha mkoba wa fomu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC, Ndg. Kailima Ramadhani akimuelekeza mgombea namna ya kujaza kitabu cha wachukua fomu.


 

Mgombea wa Kiti cha Rais kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Chama cha Alliance for Change anTransparency (ACT - Wazalendo), Mhe. Mhe. Luhaga Joelson Mpinana akisaini kitabu.

Mgombea Mwenza, Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej akisaini kitabu.

Mgombea Mwenza, Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej akisaini kitabu.

Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume, Ndg. Ramadhani Kailima akizungumza.

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akizungumza.


 


 

Wanachama wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhurio utoaji fomu wakiwa ukumbini.


 


 

Wanachama wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhurio utoaji fomu wakiwa ukumbini.

Wanachama wa chama cha ACT Wazalendo waliohudhurio utoaji fomu wakiwa ukumbini.

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAUDHUKUMU YAO HASA KATIKA KIPINDI HIKI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

WAANDISHI WA HABARI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KATIKA UTEKELEZAJI WA MAUDHUKUMU YAO HASA KATIKA KIPINDI HIKI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025

MGOMBEA UDP ACHUKUA FOMU INEC ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS

MGOMBEA UDP ACHUKUA FOMU INEC ZA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS

MGOMBEA NCCR MAGEUZI AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI

MGOMBEA NCCR MAGEUZI AJITOKEZA KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI

MLUYA WA CHAMA CHA DP ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS

MLUYA WA CHAMA CHA DP ACHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS

CUF WAMTUMA GOMBO KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS UCHAGUZI MKUU 2025

CUF WAMTUMA GOMBO KUCHUKUA FOMU ZA UTEUZI INEC KUWANIA KITI CHA RAIS UCHAGUZI MKUU 2025