

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump alipinga mpango wa Israel wa kumshambulia Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, kwa mujibu wa maafisa wawili wa Marekani waliolieleza shirika la habari la Reuters
srael ilidaiwa kupata taarifa za alipo Khamenei na ilipanga kumlenga kwa makombora, lakini Trump alikataa kuidhinisha hilo.
Alisema ana rekodi ya kumaliza migogoro na alijivunia juhudi zake za kuleta utulivu kati ya India na Pakistan, akidai anaweza kufanya hivyo pia kati ya Iran na Israel.
Mfalme wa Mashairi Awasha Moto wa Uzalendo: “Kura Yako Ni Silaha”
MUFTI ATAKA WAISLAMU KUZINGATIA MAFUNDISHO YA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29.
DOWOSA Yawaokoa Wanawake Dodoma Kutoka Mikononi mwa “Kausha Damu”
VIONGOZI WA DINI WAHIMIZA KUWAKATAA WASIOHESHIMU MISINGI NA TUNU ZA NCHI
Huduma za Uwakala CRDB Zachochea Ukuaji wa Mapato ya Serikali na Ujumuishi wa Kifedha
BADO TUNAMUHITAJI POLEPOLE KWA MKURUGENZI WA UPELELEZI- POLISI
BRIGEDIA JENERALI NDAGALA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA USIMAMIZI WA MAAFA JIJINI MBEYA
Mkomi Awasisitiza Wakuu wa Taasisi Kusimamia Mifumo ya Kielektroniki Serikalini.
WAZEE WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUJITOKEZA KUPIGA KURA.
JAMII YAHIMIZWA KUWAKATAA WANAOTAFUTA HAKI KWA KUVUNJA SHERIA