

Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Hayo yameelezwa leo Februari 25, 2024 na Mchambuzi wa Masoko ya Fedha kutoka BoT, Dunga Nginila wakati akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Benki Kuu kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni, kwenye semina kwa waandishi wa habari.
Amesema wameanza kununua dhahabu kutoka Tanzania tangu Oktoba mwaka jana ambapo lengo ni kufikisha tani sita kabla ya mwaka wa fedha kuisha.
"Dhahabu ina faida kubwa kweye nchi kama yetu ambayo tuna dhahabu nyingi. Kwahiyo faida kubwa tunaongeza akiba fedha za kigeni za nchi. na dhahabu fedha tunapoinunua na kuifikisha kwa wateja wetu inakuwa inahesabika kama fedha za kigeni za nchi," amesema.
Amefafanua kuwa, BoT inanunua dhahabu killa siku na wananunua dhahabu kutoka Tanzania tu kwani bado kuna akiba nyingi ya dhahabu.
Simiyu Yajivunia Ongezeko La Mapato TRA kutoka Bilioni 9.55 Hadi Bilioni 25.46
Mkoa Wa Mara Umezalisha Dhahabu Yenye Uzito Wa Tani 58.90 Sawa na Trillioni 6.90
WATENDAJI WA UCHAGUZI WATAKIWA KUSOMA KATIBA, SHERIA, KANUNI ZA TUME
SALALI:Tunampongeza Rais Samia Kwa Kujumuisha Watu Wenye Ulemavu Dira 2050.
Rais Samia Azindua Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050, Asisitiza Utekelezaji Wa Vitendo Na Upimaji Wa Matokeo
IDADI YA WATALII WA NDANI WALIOTEMBELEA MKOA WA TABORA IMEONGEZEKA.
AJIRA ZA MOJA KWA MOJA KATIKA SEKTA YA UTALII ZIMEONGEZEKA.
Uzalishaji wa Madini Umeongezeka kutoka Tani 7.9 Hadi Tani 42.5
eGA Yaonesha Namna Serikali Inavyotekeleza Mageuzi Kidigitali kwenye Maonesho ya sabasaba.
DKT. YONAZI AONGOZA KIKAO CHA TANZANIA NATIONAL COORDINATING MECHANISM (TNCM)