

Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Hayo yameelezwa leo Februari 25, 2024 na Mchambuzi wa Masoko ya Fedha kutoka BoT, Dunga Nginila wakati akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Benki Kuu kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni, kwenye semina kwa waandishi wa habari.
Amesema wameanza kununua dhahabu kutoka Tanzania tangu Oktoba mwaka jana ambapo lengo ni kufikisha tani sita kabla ya mwaka wa fedha kuisha.
"Dhahabu ina faida kubwa kweye nchi kama yetu ambayo tuna dhahabu nyingi. Kwahiyo faida kubwa tunaongeza akiba fedha za kigeni za nchi. na dhahabu fedha tunapoinunua na kuifikisha kwa wateja wetu inakuwa inahesabika kama fedha za kigeni za nchi," amesema.
Amefafanua kuwa, BoT inanunua dhahabu killa siku na wananunua dhahabu kutoka Tanzania tu kwani bado kuna akiba nyingi ya dhahabu.
Maiko Salali Arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Mpwapwa, Apongeza CCM kwa Ujumuishwaji wa Makundi Maalum
DIB YAHIMIZA WANANCHI KUDAI FIDIA ZAO KUTOKA BENKI ZILIZOFILISIKA
USHIRIKI WA TAWA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA
DWIGHT DANDA KIJANA MDOGO NA MHITIMU WA CHUO KIKUU ATIA NIA UBUNGE KIBAMBA
BoT YAWATAKA TAMFI NA TAMIU KUBORESHA UPATIKANAJI WA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.
Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei
Maiko Salali achukua fomu ya ubunge Jimbo la Mpwapwa
Serikali kufanya mageuzi ya kimtazamo katika nafasi za uongozi kwa wanawake
Dkt.Tulia Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi wa Shule ya Wavulana Bunge.
Mavunde Akabidhi Jengo la kupumzikia Wananchi Hospitali ya Rufaa ya Dodoma