Akiba ya dhahabu BoT ni zaidi ya Tani 2 | The Dodoma Post
The Dodoma Post Tanzania

Akiba ya dhahabu BoT ni zaidi ya Tani 2

Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
25 Feb 2025
Akiba ya dhahabu BoT ni zaidi ya Tani 2

Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.

Hayo yameelezwa leo Februari 25, 2024 na Mchambuzi wa Masoko ya Fedha kutoka BoT, Dunga Nginila wakati akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Benki Kuu kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni, kwenye semina kwa waandishi wa habari.

Amesema wameanza kununua dhahabu kutoka Tanzania tangu Oktoba mwaka jana ambapo lengo ni kufikisha tani sita kabla ya mwaka wa fedha kuisha.

"Dhahabu ina faida kubwa kweye nchi kama yetu ambayo tuna dhahabu nyingi. Kwahiyo faida kubwa tunaongeza akiba fedha za kigeni za nchi. na dhahabu fedha tunapoinunua na kuifikisha kwa wateja wetu inakuwa inahesabika kama fedha za kigeni za nchi," amesema.

Amefafanua kuwa, BoT inanunua dhahabu killa siku na wananunua dhahabu kutoka Tanzania tu kwani bado kuna akiba nyingi ya dhahabu.

 

DIB YAHIMIZA WANANCHI KUDAI FIDIA ZAO KUTOKA BENKI ZILIZOFILISIKA

DIB YAHIMIZA WANANCHI KUDAI FIDIA ZAO KUTOKA BENKI ZILIZOFILISIKA

BoT YAWATAKA TAMFI NA TAMIU KUBORESHA UPATIKANAJI WA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.

BoT YAWATAKA TAMFI NA TAMIU KUBORESHA UPATIKANAJI WA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.

RAIS SAMIA ATAJA  MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025.

RAIS SAMIA ATAJA MAFANIKIO SEKTA YA NISHATI 2020-2025.

SEKTA YA NISHATI YACHANGIA  ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA

SEKTA YA NISHATI YACHANGIA ASILIMIA 14.4 YA PATO LA TAIFA

TANESCO YAJA NA KAMPENI MAALUM YA KUHAMASISHA ULIPAJI WA MADENI KWA WATEJA.

TANESCO YAJA NA KAMPENI MAALUM YA KUHAMASISHA ULIPAJI WA MADENI KWA WATEJA.