

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania(TIRDO) Prof.Mkumbukwa Madundo Mtambo amepongeza maandalizi na uboreshaji uliofanywa ndani ya Maonesho hayo yanayoendelea ndani ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Sabasaba).
Prof Mtambo alitembelea mabanda kadhaa kabla ya kufika katika banda la Wizara ya Viwanda na Biashara ambapo TIRDO pia ni washiriki .
Katika Maonesho hayo ,Prof.Mtambo alieleza kuwa katika Maonesho haya ,TIRDO inashikiri ikiwa na wataalam kutoka idara mbali mbali lakini zaidi ni katika kuonesha ubobevu katika Idara za Nishati ,Mazingira ,Kemia ya Viwanda na pia kutambulisha Maabara ya Chakula ambayo imepata ithibati ya kufanya upimaji wa aina mbali mbali ya vyakula .
Prof.Mtambo pia alitumia nafasi hiyo kuwapongeza watumishi wake wanaoshiriki katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar Es Salaam
CCM Yatangaza Wagombea Nafasi Ya Ubunge Waliopenya Kwenye Mchujo:Mpina,Makamba Waenguliwa.
KATIBU BAWACHA AJIUNGA CHAUMA ATAJA SABABU YA KUONDOKA KWAKE.
MASLAHI MAPANA YA NCHI YANAZINGATIWA UTEKELEZAJI WA MRADI WA EACOP-DKT. MATARAGIO.
VYAMA VYA SIASA VYAHAKIKISHIWA UWANJA SAWA UCHAGUZI MKUU 2025
INEC YATANGAZA RASMI TAREHE YA UCHAGUZI MKUU 2025.
CCM Yatangaza Wagombea Nafasi Ya Ubunge Waliopenya Kwenye Mchujo:Mpina,Makamba Waenguliwa.
SHUJAA ALIYEPIGANA VITA ASISITIZA AMANI.
VITUO VIWILI VYA KUPUNGUZA KASI YA MAFUTA GHAFI EACOP KUJENGWA NCHINI.
TBC KUAZIMISHA MIAKA 26 YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA HAYATI MWALIMU NYERERE KWA KUENDESHA MASHINDANO YA INSHA KWA WANAFUNZI.
SERIKALI YASIKIA KILIO CHA WANANCHI YAINGIZA SEKTA BINAFSI KUENDESHA MRADI WA MWENDOKASI.