

Vyombo mbalimbali vya habari nchini Kenya pamoja na shirika la kimataifa linalotetea haki za binadamu Amestry International limeripoti kutekwa kwa mwanaharakati wa mtandaoni na mtetezi wa haki za binadamu Maria Sarungi.
Inaelezwa kuwa mwanaharakati huyo kutoka Tanzania ametekwa Leo na watu wasiojulikana Akiwa katika eneo la Kilimani jijini Nairobi nchini Kenya.
Taarifa za shirika hilo pia zimesema kuwa mwanaharakati huyo alichukuliwa leo majira ya saa tisa alasiri kwa nguvu na watu watatu wanaume waliokuwa na silaha nzito wakiwa na gari jeusi aina ya Noah na kutokomeana naye kusikojulikana.
Shirika hilo pia limeomba watu mbalimbali kupaza Sauti Kwa namna mbalimbali ili kuwezesha upatikanaji wa Mwanaharakati huyo na mtetezi wa haki za binadamu.
WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI WAASWA KUZINGATIA MADILI
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI
WAGOMBEA NAFASI YA NGAZI YA URAIS CCM KUTAMBULISHWA KWENYE MIAKA 48 YA CHAMA HICHO.
SERIKALI KUFANYA SENSA YA UZALISHAJI VIWANDA KWA MWAKA WA REJEA 2023.
AZANIA BENKI BUNGE BONANZA LAWALETA PAMOJA MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA.
MASHABIKI WA SIMBA NA YANGA KUKUTANA KATIKA BONANZA LA KUHAMASISHA MICHEZO NA UMUHIMU WA MAZOEZI.
MABADILIKO YA SERA YA ELIMU KUAKISI MABADILIKO YA KITAIFA NA KIMATAIFA.
RASMI UZINDUZI WA SERA YA ELIMU KUFANYIKA TAREHE 1 FEBRUARI 2025.
WASIRA: CHADEMA MSIJE NA AZIMIO LINALOKIUKA SHERIA ZA NCHI YETU.
SERIKALI IMEDHAMIRIA KUHAKIKISHA KILA ENEO LINATAMBULIKA KWA ANWANI YA MAKAZI