Katibu Mkuu Maganga atembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Maonesho Wiki ya Vijana Mbeya | The Dodoma Post
The Dodoma Post Tanzania

Katibu Mkuu Maganga atembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Maonesho Wiki ya Vijana Mbeya

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Mary Maganga, ametembelea mabanda ya Maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa, ikiwemo banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya, leo tarehe 9 Oktoba 2025.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
09 Oct 2025
Katibu Mkuu Maganga atembelea banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Maonesho Wiki ya Vijana Mbeya

Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Mary Maganga, ametembelea mabanda ya Maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa, ikiwemo banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya, leo tarehe 9 Oktoba 2025.

Maadhimisho haya yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Nguvu Kazi ya Vijana kwa Maendeleo Endelevu.”

JWTZ YAWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI, LIKIONYA KUHUSU UPOTOSHAJI MITANDAONI

JWTZ YAWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI, LIKIONYA KUHUSU UPOTOSHAJI MITANDAONI

TUME YA UCHAGUZI YAONYA WANAOSHAWISHI KUTOPIGA KURA “NI KOSA KISHERIA’

TUME YA UCHAGUZI YAONYA WANAOSHAWISHI KUTOPIGA KURA “NI KOSA KISHERIA’

Polisi Watuliza Hofu: Usalama Waimarishwa Kwa Uchaguzi Oktoba 29

Polisi Watuliza Hofu: Usalama Waimarishwa Kwa Uchaguzi Oktoba 29

TUNAAMINI UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI NA USALAMA UTAKUWEPO- WANANCHI WA KIBAHA

TUNAAMINI UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI NA USALAMA UTAKUWEPO- WANANCHI WA KIBAHA

Huduma za Uwakala CRDB Zachochea Ukuaji wa Mapato ya Serikali na Ujumuishi wa Kifedha

Huduma za Uwakala CRDB Zachochea Ukuaji wa Mapato ya Serikali na Ujumuishi wa Kifedha