

Wananchi wenye haki ya kupigakura katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili kuchagua Viongozi wanaoweza kuwaletea maendeleo na kutimiza wajibu wao wa Kikatiba na kidemokrasia.
Wananchi wenye haki ya kupigakura katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 wamehamasishwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 ili kuchagua Viongozi wanaoweza kuwaletea maendeleo na kutimiza wajibu wao wa Kikatiba na kidemokrasia.
Wananchi hao pia akiwemo Mwanahuba Jumbe Ramadhani wamesisitiza umuhimu wa kutii sheria na Miongozo ya uchaguzi, akisema ifikapo Oktoba 29, 2025 mara baada ya zoezi la kupiga kura ni muhimu kila mmoja akarejea nyumbani na kuendelea na shughuli zake badala ya kutii wito unaotolewa na baadhi ya wanasiasa wa kulinda kura kwenye Vituo, kazi ambayo ni ya mawakala wa vyama vya siasa na tume huru ya Taifa ya uchaguzi.
Richard Alphonce na Bw. Abdallah Ismail Haruna, wakazi wa Dar Es Salaam wakisisitiza kuwa kura ni haki ya kimsingi, wamebainisha kuwa mabalozi wazuri wa uchaguzi kwa kuhamasisha Vijana wenzao kupiga kura na kujitokeza kwa wingi kwani kura ndio njia pekee ya kidemokrasia ya kuweza kumchagua Kiongozi sahihi pamoja na kuwawajibisha wale walioko madarakani na walioshindwa kutimiza ahadi na matarajio ya wananchi.
JWTZ YAWAHAKIKISHIA USALAMA WANANCHI, LIKIONYA KUHUSU UPOTOSHAJI MITANDAONI
TUME YA UCHAGUZI YAONYA WANAOSHAWISHI KUTOPIGA KURA “NI KOSA KISHERIA’
Polisi Watuliza Hofu: Usalama Waimarishwa Kwa Uchaguzi Oktoba 29
TUNAAMINI UCHAGUZI UTAKUWA WA AMANI NA USALAMA UTAKUWEPO- WANANCHI WA KIBAHA
RC MAKALLA AWAHAKIKISHIA USALAMA WAZEE WA MKOA WA ARUSHA SIKU YA UPIGAJI KURA OKTOBA 29.
BRIGEDIA JENERALI NDAGALA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA USIMAMIZI WA MAAFA JIJINI MBEYA
DOWOSA Yawaokoa Wanawake Dodoma Kutoka Mikononi mwa “Kausha Damu”
Mkomi Awasisitiza Wakuu wa Taasisi Kusimamia Mifumo ya Kielektroniki Serikalini.
WAZEE WAASWA KUHAMASISHA JAMII KUJITOKEZA KUPIGA KURA.
TUMEJIANDAA VYEMA KUDHIBITI UHALIFU NA WAHALIFU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU- POLISI