

Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imetoa gawio la Shilingi Bilioni 20.4 kwa Serikali kwa mwaka 2025, likiwa ni ongezeko kutoka Shilingi Bilioni 18.9 zilizotolewa mwaka 2024.
Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imetoa gawio la Shilingi Bilioni 20.4 kwa Serikali kwa mwaka 2025, likiwa ni ongezeko kutoka Shilingi Bilioni 18.9 zilizotolewa mwaka 2024.
Gawio hilo limetolewa leo JUNE 10, Ikulu jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika hafla ya kupokea gawio na michango kutoka kwa taasisi na mashirika ya umma.
Vilevile, BRELA imepokea tuzo kama Taasisi iliyofanya vizuri katika kuchangia gawio kila mwaka, kwa wastani wa Shilingi Bilioni 16.8 kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo.
Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali na taasisi husika, wakiwemo Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya BRELA, Prof. Neema Mori, pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA, Bw. Godfrey Nyaisa.
DODOMA YAELEKEA IRINGA KWA KISHINDO MASHINDANO YA UMISSETA.
Serikali Yatangaza Kuanza Msako Kuwabaini Wanaotumikisha Watoto
VIJANA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII WAONYWA.
VIONGOZI WAANZA KUWAOGOPA WAJUMBE MOROGORO.
TANZANIA KUWA MWENYEJI TUZO ZA 32 ZA KIMATAIFA ZA UTALII.
HANANJA AWAONYA VIONGOZI WA DINI WANAOTUMIA MAJUKWAA YA DINI KUPOTOSHA UMMA.
HISTORIA YAANDIKWA RAIS DK.SAMIA APOKEA SH.TRILIONI 1 KAMA GAWIO NA MICHANGO MINGINE.
Waziri Mhagama amewataka kina Mama kuwa makini na Bidhaa Wanazotumia wakati wa Hedhi.
VIJANA WANAOTUMIA VIBAYA MITANDAO YA KIJAMII WAONYWA.
Rais Samia kupokea gawio la kihistoria, wachumi watarajia makubwa