BASHUNGWA akagua maonesho ya sekta ya Ujenzi | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

BASHUNGWA akagua maonesho ya sekta ya Ujenzi

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa, amekagua mabanda ya Maonesho ya Sekta ya Ujenzi ambayo yanalenga kutoa elimu na huduma kuhusu kazi zinazofanywa na Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake.

Moreen Rojas
By Moreen Rojas
27 May 2024
BASHUNGWA akagua maonesho ya sekta ya Ujenzi

Maonesho hayo yanayotanyika kwa siku mbili katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma kuanzia leo Mei 27, 2024 hadi Mei, 28 mwaka huu.Maonesho hayo yataambatana na uwasilishwaji ya makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka 2024/25 ambayo itasomwa Mei, 29 - 30, 2024 bungeni jijini Dodoma.

Katika maonesho hayo wabunge na wananchi watapata fursa ya kujifunza na kuzifahamu kwa ufasaha kazi zilizofanywa na tasisi zote zilizopo chini ya Wizara ya Ujenzi kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan.

KAGERA, GEITA WATAKIWA KUTUNZA VIFAA VYA UBORESHAJI

KAGERA, GEITA WATAKIWA KUTUNZA VIFAA VYA UBORESHAJI

WANAOJIANDIKISHA KUWA WAPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA KUTUMIKIA KIFUNGO JELA.

WANAOJIANDIKISHA KUWA WAPIGA KURA ZAIDI YA MARA MOJA KUTUMIKIA KIFUNGO JELA.

KAGERA, GEITA KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AGOSTI 5,2024

KAGERA, GEITA KUANZA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AGOSTI 5,2024

KADI ZA MPIGA KURA ZENYE JINA LA ZAMANI LA TUME NI HALALI

KADI ZA MPIGA KURA ZENYE JINA LA ZAMANI LA TUME NI HALALI

KAILIMA: WENGI WAJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

KAILIMA: WENGI WAJITOKEZA KUBORESHA TAARIFA ZAO KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.