

Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Benki Kuu Tanzania imesema hadi sasa ina akiba ya dhahabu fedha zaidi ya tani mbili huku lengo likiwa kufikia tani sita kwa mwaka.
Hayo yameelezwa leo Februari 25, 2024 na Mchambuzi wa Masoko ya Fedha kutoka BoT, Dunga Nginila wakati akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Benki Kuu kuwa na dhahabu kama sehemu ya akiba yake ya fedha za kigeni, kwenye semina kwa waandishi wa habari.
Amesema wameanza kununua dhahabu kutoka Tanzania tangu Oktoba mwaka jana ambapo lengo ni kufikisha tani sita kabla ya mwaka wa fedha kuisha.
"Dhahabu ina faida kubwa kweye nchi kama yetu ambayo tuna dhahabu nyingi. Kwahiyo faida kubwa tunaongeza akiba fedha za kigeni za nchi. na dhahabu fedha tunapoinunua na kuifikisha kwa wateja wetu inakuwa inahesabika kama fedha za kigeni za nchi," amesema.
Amefafanua kuwa, BoT inanunua dhahabu killa siku na wananunua dhahabu kutoka Tanzania tu kwani bado kuna akiba nyingi ya dhahabu.
Kylian Mbappé: Mapambano ya Kifundo cha Mguu na Tumaini la Ushindi
Mavunde Agawa Kompyuta na Printa kwa shule zote za Sekondari za Jiji la Dodoma.
RAIS SAMIA Aagiza Mamlaka Za Serikali za Mitaa Kujiepusha Kuwa Vyanzo vya Migogoro ya Ardhi Nchini.
DAWASA Imeendelea na Utekelezaji wa Miradi Zaidi ya 25 Yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 987.6.
NCAA IMEFANIKIWA Kudhibiti Ujangili wa Wanyamapori Ndani na Nje ya Hifadhi ya Ngorongoro.
UPOTEVU Wa Maji Kwa Mwaka 2021 Ulikuwa Wastani wa Asilimia 64.
MOI Imefanikiwa Kuanzisha Huduma Zaidi ya 10 lkiwemo Upasuaji wa Ubongo Bila Kufungua Fuvu.
GHARAMA YA KUPANDIKIZA MIMBA NI MILIONI 14 MUHIMBILI.
WANANCHI WAILILIA SERIKALI,WAFUKUZWA KWENYE MAENEO YAO.
Vituo 94 vimepewa mikopo na NHIF kwa ajili ya kuboresha huduma wanazotoa kwa wananchi.