

Rapa maarufu Jay Z na familia yake wanaripotiwa kupokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu mbalimbali mitandaoni, kufuatia kesi ya ubakaji inayomhusisha binti wa miaka 13, anayedaiwa kubakwa na Diddy mwaka 2000. Kesi hiyo ilifunguliwa na mwanadada aliyejulikana kwa jina bandia la 'Jane Doe' Desemba 9, 2024, akidai kuwa alifanyiwa unyanyasaji baada ya sherehe za tuzo za Video Music Awards (VMAs).
Jay Z anadai kuwa yeye na familia yake wamekuwa wakituhumiwa kuwa ni waongo na waovu, huku wengine wakitaka apelekwe gerezani kama alivyofanya Diddy na kisha auliwe. Kesi hii, hata hivyo, imeshafutwa baada ya mshitakiwa kuiondoa kwa hiari, na hivyo kuondoa tuhuma hizo kisheria.
Hata hivyo, mjadala unaendelea mitandaoni, huku baadhi ya watu wakidai kuwa haki haikutendeka. Vitisho vinavyotolewa kwa Jay Z na familia yake ni kielelezo cha madhara ya mitandao ya kijamii katika kujenga au kubomoa sifa za watu, hasa katika kesi kubwa kama hii.
Maiko Salali Arejesha Fomu ya Kugombea Ubunge Jimbo la Mpwapwa, Apongeza CCM kwa Ujumuishwaji wa Makundi Maalum
DIB YAHIMIZA WANANCHI KUDAI FIDIA ZAO KUTOKA BENKI ZILIZOFILISIKA
USHIRIKI WA TAWA KATIKA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA
DWIGHT DANDA KIJANA MDOGO NA MHITIMU WA CHUO KIKUU ATIA NIA UBUNGE KIBAMBA
BoT YAWATAKA TAMFI NA TAMIU KUBORESHA UPATIKANAJI WA HUDUMA NDOGO ZA FEDHA.
Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. Kimei
Maiko Salali achukua fomu ya ubunge Jimbo la Mpwapwa
Serikali kufanya mageuzi ya kimtazamo katika nafasi za uongozi kwa wanawake
Dkt.Tulia Aweka Jiwe La Msingi Ujenzi wa Shule ya Wavulana Bunge.
Mavunde Akabidhi Jengo la kupumzikia Wananchi Hospitali ya Rufaa ya Dodoma