FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU | The Dodoma Post
The Dodoma Post Kijamii

FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya kusaidia watu wenye ulemavu ya mkoani Dodoma ya Foundation For Disabilities Hope (FDH), Maiko Salali amelipongeza Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP kwa jitiada zake za kupaisha agenda ya ulinzi wa mazingira kwa watu wenye Ulbino nchini.

Moreen Rojas
By Moreen Rojas
04 Dec 2024
FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU

Salali, amesema kupitia ushirikano wa shirika hilo la UNEP na FDH wameweza kusukuma Mpango kazi wa kitaifa wa haki na ustawi watu wenye ulbino ambapo serikali ilisikiliza na kufanyia kazi maombi hayo na hatimaye mpango huo umezinduliwa Desemba 03, 2024 katika siku ya kimataifa ya watu wenye ulemavu duniani.
 
“Kwa hapa Tanzania tuliazimisha katika ukumbi wa Dimond Jubilee Dar es salaam,ambapo FDH tunaishukuru sana UNEP kwa jitiada hizi ambazo zimewezesha watu wenye ulbino nchini kupata mpango, "

Na kuongeza kusema kuwa "Nimatumaini yetu kuwa tunaendelea kushirikiana ili kuendelea kuhakikisha agenda ya mazingira na ulinzi wa mazingira kwa watu wenye ulemavu unakuwa kipaumbele muhimu, " Amesema Salali

Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Kubadilishana Taarifa Serikalini GovESB.

Waziri Mkuu Azindua Mfumo wa Kubadilishana Taarifa Serikalini GovESB.

LUKUVI AWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA DAWA ZA KULEVYA

LUKUVI AWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA DAWA ZA KULEVYA

UDSM YASAINI MAKUBALIANO NA KAMPUNI ZA CHINA KUTOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WA CHUO HICHO.

UDSM YASAINI MAKUBALIANO NA KAMPUNI ZA CHINA KUTOA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WA CHUO HICHO.

KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI

KIHENZILE:WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NI FURSA MUHIMU KWA WANANCHI

MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.

MOI YASEMA WAGONJWA WENGI WANAOWAHUDUMIA WANA MATATIZO SUGU.