FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU | The Dodoma Post
The Dodoma Post Kijamii

FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU

MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya kusaidia watu wenye ulemavu ya mkoani Dodoma ya Foundation For Disabilities Hope (FDH), Maiko Salali amelipongeza Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP kwa jitiada zake za kupaisha agenda ya ulinzi wa mazingira kwa watu wenye Ulbino nchini.

Moreen Rojas
By Moreen Rojas
04 Dec 2024
FDH YAIPONGEZA UNEP KUENDELEZA AGENDA YA MAZINGIRA KWA WENYE ULEMAVU

Salali, amesema kupitia ushirikano wa shirika hilo la UNEP na FDH wameweza kusukuma Mpango kazi wa kitaifa wa haki na ustawi watu wenye ulbino ambapo serikali ilisikiliza na kufanyia kazi maombi hayo na hatimaye mpango huo umezinduliwa Desemba 03, 2024 katika siku ya kimataifa ya watu wenye ulemavu duniani.
 
“Kwa hapa Tanzania tuliazimisha katika ukumbi wa Dimond Jubilee Dar es salaam,ambapo FDH tunaishukuru sana UNEP kwa jitiada hizi ambazo zimewezesha watu wenye ulbino nchini kupata mpango, "

Na kuongeza kusema kuwa "Nimatumaini yetu kuwa tunaendelea kushirikiana ili kuendelea kuhakikisha agenda ya mazingira na ulinzi wa mazingira kwa watu wenye ulemavu unakuwa kipaumbele muhimu, " Amesema Salali

NYONGO AZITAKA ASASI ZA KIRAIA KUFANYA MAJADILIANO YA PAMOJA ILI KUFANIKISHA DIRA YA MAENDELEO 2050.

NYONGO AZITAKA ASASI ZA KIRAIA KUFANYA MAJADILIANO YA PAMOJA ILI KUFANIKISHA DIRA YA MAENDELEO 2050.

DKT.BITEKO AIPONGEZA TPDC KWA UJENZI WA VITUO VYA CNG.

DKT.BITEKO AIPONGEZA TPDC KWA UJENZI WA VITUO VYA CNG.

DKT.BITEKO ATOA WIKI MOJA KWA TANESCO KUBORESHA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA.

DKT.BITEKO ATOA WIKI MOJA KWA TANESCO KUBORESHA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA.

Mitungi 19,530 kuuzwa kwa bei ya ruzuku kwa lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia

Mitungi 19,530 kuuzwa kwa bei ya ruzuku kwa lengo la kuhamasisha na kuchochea matumizi ya nishati safi ya kupikia

NECTA:WALIOFELI KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE KURUDIA DARASA.

NECTA:WALIOFELI KIDATO CHA PILI NA DARASA LA NNE KURUDIA DARASA.