BALOZI DKT.NCHIMBI AWANADI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE TARIME. | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

BALOZI DKT.NCHIMBI AWANADI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE TARIME.

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Jumapili Agosti 31 ,2025 ameendelea na kampeni zake kwa kufanya mkutano mkubwa katika mji wa Nyamongo, jimbo la Tarime vijijini mkoani Mara.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
31 Aug 2025
BALOZI DKT.NCHIMBI AWANADI AWANADI WAGOMBEA UBUNGE TARIME.

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi leo Jumapili Agosti 31 ,2025 ameendelea na kampeni zake kwa kufanya mkutano mkubwa katika mji wa Nyamongo, jimbo la Tarime vijijini mkoani Mara.

Balozi Dkt.Nchimbi  pia aliwanadi wagombea Wabunge wa majimbo ya Mkoa huo akiwemo  mgombea Ubunge wa Jimbo la Tarime Vijini,Mwita Waitara Pamoja na  Madiwani

Dkt.Nchimbi ameanza kampeni zake mkoani Mara jana Agosti 30, 2025 akitokea mkoa wa Mwanza, ikiwa ni katika harakati za kuomba ridhaa ya Watanzania  walioko Kanda ya Ziwa katika Uchaguzi mkuu unaotarajiwa Kufanyika Oktoba 29, 2025.

DKT NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA  29 KWA KISHINDO.

DKT NCHIMBI AITEKA RORYA | WANANCHI WATHIBITISHA KUTIKI OKTOBA 29 KWA KISHINDO.

MZEE JOSEPH BUTIKU ALIVYOIBUKIA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI WA DK.EMMANUEL NCHIMBI RORYA

MZEE JOSEPH BUTIKU ALIVYOIBUKIA KATIKA MKUTANO WA KAMPENI WA DK.EMMANUEL NCHIMBI RORYA

MONALISA APINGA VIKALI KUVULIWA UANACHAMA ACT.

MONALISA APINGA VIKALI KUVULIWA UANACHAMA ACT.

KASI YA UJENZI WA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI  MADINI YAONGEZEKA NCHINI TANZANIA

KASI YA UJENZI WA VIWANDA VYA KUONGEZA THAMANI MADINI YAONGEZEKA NCHINI TANZANIA

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE CCM AWAALIKA WANANCHI KUSHIRIKI UZINDUZI WA KAPMPENI AGOSTI 28.

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KAWE CCM AWAALIKA WANANCHI KUSHIRIKI UZINDUZI WA KAPMPENI AGOSTI 28.