SERIKALI yaanza Kufanya tathmini ya athari za mafuriko na mahitaji Rufiji | The Dodoma Post
The Dodoma Post Kijamii

SERIKALI yaanza Kufanya tathmini ya athari za mafuriko na mahitaji Rufiji

Pwani. Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu kwa kushirikiana na Uongozi wa Mkoa wa Pwani pamoja na wadau kutoka Mashirika mbalimbali wamefanya tathmini ya athari na uharibifu kwa waathirika wa mafuriko katika kata mbalimbali Wilaya ya Rufiji Mkoani Pwani ili kupata taarifa kamili zitakazoisaidia Serikali katika kuchukua hatua za muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu kwa waathirika wa mafuriko yalitokea Wilayani humo.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
17 Apr 2024
SERIKALI yaanza Kufanya tathmini ya  athari za mafuriko na mahitaji Rufiji

Timu hiyo imetembelea leo (Aprili 17, 2024) katika kata ya Mkongo pamoja na Kata ya Ngorongo Wilayani Rufiji mkoani Pwani.

PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU
MASAA YA Upatikanaji wa Huduma ya Maji Yameongezeka Kutoka saa 16 hadi saa 22

MASAA YA Upatikanaji wa Huduma ya Maji Yameongezeka Kutoka saa 16 hadi saa 22

MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imefanikiwa kutoa mafunzo kwa wadau wa kemikali

MAMLAKA ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imefanikiwa kutoa mafunzo kwa wadau wa kemikali

GHARAMA YA KUPANDIKIZA MIMBA NI MILIONI 14 MUHIMBILI.

GHARAMA YA KUPANDIKIZA MIMBA NI MILIONI 14 MUHIMBILI.

MOI Imefanikiwa Kuanzisha Huduma Zaidi ya 10 lkiwemo Upasuaji wa Ubongo Bila Kufungua Fuvu.

MOI Imefanikiwa Kuanzisha Huduma Zaidi ya 10 lkiwemo Upasuaji wa Ubongo Bila Kufungua Fuvu.

WANANCHI WAILILIA SERIKALI,WAFUKUZWA KWENYE MAENEO YAO.

WANANCHI WAILILIA SERIKALI,WAFUKUZWA KWENYE MAENEO YAO.