

Makundi ya waendesha bodaboda na wamachinga yamezunguka katika mitaa kadhaa ya jiji la Dar es Salaam ikiwemo Posta, Kisutu, Kivukoni, Kariakoo, Karume, na Buguruni, yakihamasisha wananchi kulinda amani na kujitokeza kupiga kura siku ya tarehe 29 Oktoba.
Makundi ya waendesha bodaboda na wamachinga yamezunguka katika mitaa kadhaa ya jiji la Dar es Salaam ikiwemo Posta, Kisutu, Kivukoni, Kariakoo, Karume, na Buguruni, yakihamasisha wananchi kulinda amani na kujitokeza kupiga kura siku ya tarehe 29 Oktoba.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kiongozi wa waendesha bodaboda Ilala, Abdul Kimaro, amewataka vijana wenzake kutokubali kurubuniwa kufanya vurugu na badala yake kutumia haki yao ya kidemokrasia kwa kupiga kura kwa amani.
Kwa upande wao, makundi ya bodaboda na wamachinga wameonesha kukubali elimu hiyo, huku baadhi yao wakiapa kujitokeza kupiga kura na kusisitiza kuwa hawatashiriki katika vurugu za aina yoyote.
Viongozi wengine wa wamachinga na wajasiriamali wadogo (mama na baba lishe) na bodaboda nao wamejitokeza kuunga mkono kampeni hiyo ya amani, wakisisitiza kuwa uchaguzi ni fursa ya maendeleo na siyo sababu ya migogoro.
CWT YATOA WITO KWA WALIMU KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU NA KUELEIMISHA JAMII KUHUSU UMUHIMU WA KUPIGA KURA
JWTZ NA POLISI MOROGORO WAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KUJIIMARISHA KATIKA ULINZI NA USALAMA
Hakuna Maendeleo Bila Amani, Hakuna Taifa Imara Bila Mshikamano - Dkt. Judith
VIONGOZI WA DINI KATAVI WATOA KAULI "UCHAGUZI USITUGAWANYE"
WOTE WENYE HOMA ZA UCHAGUZI MSIKUBALI ZIKAPANDA KICHWANI, TUTAWADHIBITI- KANALI MTAMBI
PADRI NIKATA ALIJIPOTEZA KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA KUACHWA NA MPENZI WAKE- POLISI
BRIGEDIA JENERALI NDAGALA AFUNGUA KONGAMANO LA WADAU WA USIMAMIZI WA MAAFA JIJINI MBEYA
DOWOSA Yawaokoa Wanawake Dodoma Kutoka Mikononi mwa “Kausha Damu”
MKURANGA WAPO TAYARI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU KWA AMANI
Vijana sasa kujifunza ufundi kwa urahisi kupitia programu ya VSOMO ya VETA