DIAMOND ASIFIA UWEKEZAJI WA VIDEO YA "OLOLUFEMI" | The Dodoma Post
The Dodoma Post Burudani

DIAMOND ASIFIA UWEKEZAJI WA VIDEO YA "OLOLUFEMI"

"Moja kati ya video kubwa nimewahi kufanya mwaka huu, bwana Jux uwekezaji ameufanya"

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
11 Nov 2024
DIAMOND ASIFIA UWEKEZAJI WA VIDEO YA "OLOLUFEMI"

Alisikika msanii Diamond Platnumz akielezea namna video ya wimbo wa Ololufe Mi aliyoshirikishwa na Jux ilivyoghalimu pesa nyingi, Diamond aliyasema hayo wakati wapo location wakiendelea na production ya video hiyo

Pia Diamond ametumia video hiyo kuwapongeza waigizaji wa movie kutokana na ugumu wanaopitia kwenye uzalishaji wa film zao hiyo ni baada ya kupata uzoefu wa baadhi ya acting zilizopatikana kwenye video hiyo

"Kiukweli niwapongeze wacheza filamu kazi yao ni ngumu sana"

"A$AP Rocky Amzuia  rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

"A$AP Rocky Amzuia rafiki yake Twelvyy Kujibu Maswali Mahakamani"

KANYE WEST AMUOMBA TRUMP KUMUACHIA HURU NDUGU YAKE SEAN "DIDDY"

KANYE WEST AMUOMBA TRUMP KUMUACHIA HURU NDUGU YAKE SEAN "DIDDY"

SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR KUKUTANISHA WASANII BARANI AFRIKA KWENYE JUKWAA MOJA.

SAUTI ZA BUSARA ZANZIBAR KUKUTANISHA WASANII BARANI AFRIKA KWENYE JUKWAA MOJA.

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

MARCO WA ZABRON SINGERS AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA MOYO

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY

ROSA REE AIWAKILISHA TANZANIA TUZO ZA GRAMMY