MENEJIMENTI YA NCAA YAPATA MAFUNZO YA KUBORESHA UTENDAJI KAZI | The Dodoma Post
The Dodoma Post Utalii

MENEJIMENTI YA NCAA YAPATA MAFUNZO YA KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Dkt. Elirehema Doriye ameiongoza Menejimenti ya Mamlaka hiyo kupata mafunzo katika nyanja mbalimbali ili kuendana na mabadiliko ya Sayansi na teknolojia na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi kulingana na wakati.

Mwandishi Wetu
By Mwandishi Wetu
08 May 2025
MENEJIMENTI YA NCAA YAPATA MAFUNZO YA KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku tatu jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7 Mei, 2025 yalijikita katika sheria ya maadili ya viongozi wa Umma, sifa za uongozi,  utunzaji wa siri na nyaraka za Serikali, uedeshaji wa ofisi za Umma, afya ya akili na akili hisia

“Mafunzo mahala pa kazi yanaimarisha utendaji kazi hasa katika utekelezaji wa majukumu, dunia inabadilika kwa sasa kuna masuala ya akili hisia “emotional intelligence”, akili mnemba “artificial intelligence”, maadili katika utumishi wa Umma, uendeshaji wa ofisi za umma na kuongeza ufanisi katika kuhudumia wateja wetu, sasa ili kuongeza ufanisi katika masuala haya tuna wajibu wa kuwa na mafunzo ya mara kwa mara ambayo pia yatatusaidia  kuongoza tunaowasimamia ”  alisisitiza Dkt. Doriye.

MKURUGENZI WA MASOKO TTB AELEZA FURSA INAYOWEZA KUPATA TANZANIA KUTOKA  JAPAN KATIKA ELIMU YA UTALII NA UHIFADHI

MKURUGENZI WA MASOKO TTB AELEZA FURSA INAYOWEZA KUPATA TANZANIA KUTOKA JAPAN KATIKA ELIMU YA UTALII NA UHIFADHI

BALOZI LUVANDA AONGOZA UJUMBE WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAKALA WA UTALII NCHINI JAPAN

BALOZI LUVANDA AONGOZA UJUMBE WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAKALA WA UTALII NCHINI JAPAN

WAJUMBE WA MKUTANO WA BARAZA LA VIWANJA VYA NDEGE AFRIKA WAFURAHIA VIVUTIO VYA UTALII NGORONGORO.

WAJUMBE WA MKUTANO WA BARAZA LA VIWANJA VYA NDEGE AFRIKA WAFURAHIA VIVUTIO VYA UTALII NGORONGORO.

DKT. DORIYE AONGOZA MENEJIMENTI YA NCAA KIAPO CHA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI WA UMMA.

DKT. DORIYE AONGOZA MENEJIMENTI YA NCAA KIAPO CHA AHADI YA UADILIFU KWA VIONGOZI WA UMMA.

TUTAENDELEA KUINADI TANZANIA KWA NGUVU ZOTE EXPO 2025 JAPAN- MWAMWAJA.

TUTAENDELEA KUINADI TANZANIA KWA NGUVU ZOTE EXPO 2025 JAPAN- MWAMWAJA.