

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) Dkt. Elirehema Doriye ameiongoza Menejimenti ya Mamlaka hiyo kupata mafunzo katika nyanja mbalimbali ili kuendana na mabadiliko ya Sayansi na teknolojia na kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu ya taasisi kulingana na wakati.
Mafunzo hayo yaliyofanyika kwa siku tatu jijini Arusha kuanzia tarehe 5-7 Mei, 2025 yalijikita katika sheria ya maadili ya viongozi wa Umma, sifa za uongozi, utunzaji wa siri na nyaraka za Serikali, uedeshaji wa ofisi za Umma, afya ya akili na akili hisia
“Mafunzo mahala pa kazi yanaimarisha utendaji kazi hasa katika utekelezaji wa majukumu, dunia inabadilika kwa sasa kuna masuala ya akili hisia “emotional intelligence”, akili mnemba “artificial intelligence”, maadili katika utumishi wa Umma, uendeshaji wa ofisi za umma na kuongeza ufanisi katika kuhudumia wateja wetu, sasa ili kuongeza ufanisi katika masuala haya tuna wajibu wa kuwa na mafunzo ya mara kwa mara ambayo pia yatatusaidia kuongoza tunaowasimamia ” alisisitiza Dkt. Doriye.
KAPINGA AZINDUA KITUO MAMA CHA GESI ASILIA ILIYOSHINDILIWA (CNG) JIJINI DAR ES SALAAM.
MKURUGENZI WA MASOKO TTB AELEZA FURSA INAYOWEZA KUPATA TANZANIA KUTOKA JAPAN KATIKA ELIMU YA UTALII NA UHIFADHI
BALOZI LUVANDA AONGOZA UJUMBE WA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAKALA WA UTALII NCHINI JAPAN
BODI YA ITHIBATI YATAMBULISHWA RASMI BUNGENI
Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"
BEI YA MADINI YA DHAHABU IMEPANDA HADI DOLA ZA MAREKANI 2,655.80
Ibraah Afunguka: "Nilifukuzwa Konde Gang na Harmonize"
Sekta ya Uvuvi imetoa ajira ya Moja Kwa Moja Kwa Wavuvi 201,661
TUME YATAKA WANANCHI KUTAZAMA DAFTARI LA AWALI,KUHAKIKI TAARIFA ZAO
TUTAENDELEA KUINADI TANZANIA KWA NGUVU ZOTE EXPO 2025 JAPAN- MWAMWAJA.