DKT. BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA CLIMATE INVESTMENT FUNDS | The Dodoma Post
The Dodoma Post Siasa

DKT. BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA CLIMATE INVESTMENT FUNDS

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Climate Investment Funds (CIF) Bi. Tariye Gbadegesin Mjini Bridgetown, Barbados.

The Dododma Post
By The Dododma Post
14 Mar 2025
DKT. BITEKO AKUTANA NA MTENDAJI MKUU WA CLIMATE INVESTMENT FUNDS

Mazungumzo hayo yamefanyika leo Machi 14, 2025 kando ya Mkutano wa Kimataifa wa kuhusu upatikanaji wa Nishati endelevu kwa wote (Energy ForAll)

Dkt. Biteko amesema kuwa, Wizara ya Nishati iko tayari kukuza ushirikiano na Taasisi hiyo ili kuunganisha juhudi za pamoja kuhakikisha matumizi ya nishati safi ya kupikia hususan maeneo ya Vijijini.

Aidha, Katika mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Mshauri wa Rais Masuala ya Nishati Safi na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Angellah Kairuki, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mha. Felchesmi Mramba pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Cuba na mwakilishi katika eneo la Caribean, Mhe. Humphrey Polepole.

Sio Lazima Kila Mhitimu Aajiriwe na Serikali: Waziri Simbachawene.

Sio Lazima Kila Mhitimu Aajiriwe na Serikali: Waziri Simbachawene.

Awamu ya pili uboreshaji, uwekaji wazi wa dafatri la wapiga kura kuanza mei.

Awamu ya pili uboreshaji, uwekaji wazi wa dafatri la wapiga kura kuanza mei.

Chama Cha Mawakili wa Serikali kufanya mkutano Aprili 14-15 jijini Dodoma

Chama Cha Mawakili wa Serikali kufanya mkutano Aprili 14-15 jijini Dodoma

Shule mpya ya wavulana kugharimu zaidi ya bilioni tatu

Shule mpya ya wavulana kugharimu zaidi ya bilioni tatu

MWENYEKITI CHADEMA WILAYA YA MWANGA AMTAKA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUTENGUA MAAMUZI YA BARAZA KUU LA CHAMA HICHO.

MWENYEKITI CHADEMA WILAYA YA MWANGA AMTAKA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA KUTENGUA MAAMUZI YA BARAZA KUU LA CHAMA HICHO.